amani ya tanzania

Amani (Kata ya Amani, in Swahili) is an administrative ward in Muheza District of Tanga Region in Tanzania. Mbomole and Msalai form the ward's northern boundary. Kisiwani is to the east, and Potwe lies to the south. Kwagunda of Korogwe is the western boundary of the ward. The ward is home to the famous Amani Forest Nature Reserve. The ward covers an area of 91 km2 (35 sq mi), and has an average elevation of 963 m (3,159 ft). According to the 2012 census, the ward has a total population of 5,553.

View More On Wikipedia.org
  1. PostGE2025 Dkt. Rioba wa TBC: Niko tayari kuomba silaha kulinda Taifa langu dhidi ya tishio lolote la usalama na amani ya Tanzania

    Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) Dkt. Ayub Rioba Chacha kupitia ukurasa wake kwenye mtandao wa Facebook amesema yupo tayari kuomba silaha kwaajili ya kuilinda Tanzania dhidi ya tishio lolote la usalama na amani kwani aliwahi kufanya hivyo mwaka 1990. "Mwaka 1990 nikiwa...
  2. R

    PostGE2025 Rais Samia: Sifa yetu inaporomoka, wasiotutakia mema wanakerekwa kuwa Tanzania ni nchi ya amani

    Rais Samia akihutubia Taifa leo desemba , 2025 katika Mkutano na wazee wa Mkoa wa Dar es Salaam uliofanyika kwenye ukumbi wa Kimataifa ya Mwl. Julius Nyerere JNICC amesmea kuwa Sifa ya utamaduni wa amani ya Tanzania unaporomoka kadri siku zinavyozidi kusonga kufuatia baadhi ya watu kureketwa na...
  3. PostGE2025 Shigongo aongoza mamia ya vijana kula kiapo cha kuilinda amani ya Tanzania

    Kongamano la Umoja wa Bodaboda na Machinga Dar es Salaam limewakutanisha viongozi mbalimbali akiwemo Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo, Mkurugenzi wa Jiji la Dar es Salaam, Elihuruma Mabelya, RPC Ilala pamoja na Mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo. Tukio hilo lililojumuisha mamia ya Vijana...
  4. GE2025 Mchungaji Victoria: Tutapata wapi sadaka mkiandamana? Sisi tunaishi kwa kula sadaka

    "Sisi Tunakula Sadaka, Maisha Yetu ni Sadaka” Mtumishi wa Mungu Mchungaji Victoria Joseph wa Life Center International Bible College pamoja na wengine wamesema kuwa wao kama viongozi wa dini, endapo amani itatoweka kutokana na kelele za mitandaoni, watakosa sadaka. Wakizungumza na waandishi wa...
  5. R

    GE2025 Kiongozi wa Rastafarians: Tuilinde amani ya Tanzania, vita ikitokea hatuna nchi ya kukimbilia, Tunamuunga mkono Rais Samia

    Hapa ni njaa ndo imezidi na hili joto la Daslam, nilikuwa nawaheshimu sana hawa jamaa nimeamini njaa ni mbaya sana :AYOO: ----------------- Umoja wa Rastafarians Tanzanian wamefanya matembezi ya amani ndani ya jiji la Mwanza kama njia ya kuenzi na kuhimiza mila, desturi, amani na upendo vigezo...
  6. Rais wa TAHLISO Geofrey Kiliba: Tuwakemee wanaotishia amani ya Tanzania

    Rais wa Jumuiya ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu nchini Tanzania TAHLISO Bw. Geofrey Kiliba amesisitiza umuhimu wa Wasomi na Vijana waliopo vyuoni kukemea, kukosoa na kushauri kwa kutumia maarifa na taaluma zao katika kuijenga Tanzania na kuepusha waharibifu wanaotishia kuharibu misingi ya amani...
  7. PreGE2025 Balozi Nchimbi: Maoni yoyote kuhusu amani ya Tanzania hayatapuuzwa

    BALOZI NCHIMBI: MAONI YOYOTE KUHUSU AMANI YA TANZANIA HAYATAPUUZWA. Awahakikishia viongozi wa dini, taasisi za kijamii na kimila Awapongeza wanawake kusimamia amani Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi amesema kuwa maoni yoyote yanayolenga kuhakikisha...
  8. PreGE2025 Sheikh Yakubu Saburia: Amani tuliyonayo mnaona haitoshi, waulizeni Yemen, Libya, Palestine, Syria na Iraq

    IMAMU wa Msikiti wa Masjid Noor uliopo chini ya BAKWATA Bariadi, Mkoani Simiyu, Sheikh Yakubu Saburia, ameeleza kuwa amani ya nchi haipaswi kuhubiriwa kwa misingi ya itikadi za kisiasa au vyama, bali kama tunu ya kitaifa inayopaswa kulindwa na kila mmoja. Akizungumza wakati wa swala ya...
  9. S

    Ukali na tishio kutumia nguvu wanavyofanya Raisi Samia na Mchengerwa "kulinda" amani ya Tanzania ni vigumu sana mtu kuamini Tanzania ni nchi ya amani!

    Nimewasikiliza Raisi Samia na waziri wake Mchengerwa wakiongea kuhusu "kulinda" amani ya Tanzania, kwa namna ya ukali na kuonyesha watatumia nguvu kubwa kuilinda hiyo "amani", kiasi kwamba najiuliza, kama Tanzania ni nchi ya amani, kwa nini muongee kwa ukali namna hii na kutoa vitisho vya ajabu...
  10. Nani anaiharibu amani ya Tanzania ni Tundu Lissu wa CHADEMA au ni viongozi wa serikali ya CCM kwa maslahi yao binafsi?

    Katika hali isiyo ya kawaida kumekuwepo na sintofahamu ya kukamatwa Mwenyekiti wa Chadema Mh. Tundu Antiphas Lissu na kufunguliwa mashtaka ya uhaini, swali ni je? nani anaharibu amani ya taifa letu Tanzania, anayetumia nguvu na kusisitiza uchaguzi uende anavyotaka yeye au yule Lissu anayesema...
  11. Swali hili lijibiwe. Nani anaharibu Amani ya Tanzania. CHADEMA au CCM? CHADEMA wanataka mfumo ambao utatupatia viongozi kwa haki

    Watanzania tukishapata jibu la swali hili basi taifa letu litapata mustakabari adhimu juu ya amani ya nchi yetu. Wanaotumia dola kuhakikisha wapo madarakani na wale wanaotaka Katiba yenye manufaa kwa umma. Nani anaharibu?
  12. Nabii Clear Malisa: Amani ya Tanzania isitetereke kisa tamaa au Siasa

    Nabii Clear Malisa wa Kanisa la Kingdom Embassy ametoa onyo kwa watumishi wa Mungu, wanasiasa na Wakristo wote nchini kuhusu umuhimu wa kutunza amani ya Tanzania, akisisitiza kuwa amani hiyo haipaswi kutetereka kwa sababu ya tamaa au siasa. Akizungumza wakati wa Sikukuu ya Pasaka, Nabii Malisa...
  13. X

    SoC04 Serikali ikomeshe matukio ya utekaji, ni doa kwa uhuru, amani, usalama na demokrasia ya nchi yetu

    UTANGULIZI Kwa takribani kipindi cha miaka 8 mfululizo nchini Tanzania (2016-2024) matukio ya watu kutekwa nyara, kupotezwa na hata kushambuliwa au kuuawa na watu wasiojulikana huku wahusika wa matukio hayo wakiwa hawapatikani yamekua matukio ya mfuatano na ya kawaida kabisa. Yalishamiri sana...
  14. Mimi siwezi kuandamana nchi nzuri kama Tanzania

    Niwe tu mkweli bado sijaona sababu za kufeli maisha mazuri hapa Tanzania kwa sababu mimi nimekuja duniani na nimekuta mazingira yote nayoyataka sasa kwanini nipinge formula nzuri kama hio. Yaani nchi yenye ardhi inilishe na kuninywesha halafu niikanyage Kwa dharau hio ardhi sitaki...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…