amani uchaguzi mkuu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    GE2025 RC Morogoro: Wanaoratibu vitendo vya uvunjifu wa amani uchaguzi mkuu kukiona

    Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Malima, ametoa onyo kali kwa makundi au watu wenye nia ya kuanzisha fujo ama vurugu wakati wa kipindi cha uchaguzi Mkuu wa Tanzania, akisisitiza kuwa vyombo vya ulinzi na usalama vipo imara na makini kuhakikisha amani na utulivu vinaendelea kudumishwa nchini...
  2. R

    GE2025 Polisi: Tutahakikisha Kampeni zinafanyika kwa amani kwa kushirikisha wananchi ili kuzuia uhalifu

    Wakuu Mikakati ya Jeshi la Polisi na Amiri Mkuu wa Jeshi mmeielewa? ------------- Msemaji wa Jeshi la Polisi nchini, DCP David Misime, amesema jeshi hilo limejiandaa vizuri kuhakikisha katika mchakato mzima wa uchaguzi, linakuwa na mikakati thabiti ya kuhakikisha amani, utulivu na usalama...
  3. McLaren

    GE2025 Mkuu wa Polisi Mtwara: Tuache kuangalia wengine wanafanya nini. Mtwara iko moja tu mambo yakichafuka hakuna nyingine

    Wakuu Kila mtu atalinda kitu anachoona kina faida. Watanzania endeleeni kulinda amani wakati ma-burgeoisie wataendelea kulinda malambogini na maferari ambavyo yamejazana kule Masaki. ======================== Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Mtwara SACP Issa Suleiman amewataka wananchi wa Mkoa wa...
  4. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Viongozi wa Makanisa ya Kimitume na Kinabii wahimiza Amani Uchaguzi Mkuu

    Baadhi ya Viongozi wa Umoja wa Makanisa ya Kitume na Kinabii Tanzania, wakiongozwa na rais wa Umoja huo Nabii Dr. Joshua Aram Mwantyala wamehimiza amani wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu. Wameeleza kuwa, Wagombea watakaoshindwa kuchaguliwa na wananchi katika Uchaguzi huo, hawana...
  5. R

    GE2025 Askofu Malasusa ahimiza amani kuelekea uchaguzi mkuu Oktoba 29, 2025

    Askofu Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dkt. Alex Malasusa, amewataka Watanzania bila kujali itikadi za dini zao, kuheshimu na kudumisha amani na utulivu katika kuelekea kipindi hiki cha Uchaguzi Mkuu wa Madiwani, Wabunge na Rais, ili kulisaidia Taifa kubaki salama kabla...
  6. Waufukweni

    PreGE2025 Bashungwa: Tumejipanga kwa Vitendea kazi na Kijeshi kuwashughulikia watakaofanya fujo kwenye Uchaguzi

    Serikali kupitia Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi imeonya watu wanaopanga au wanaotarajia kuvuruga amani wakati wa Uchaguzi Mkuu ujao, ikisisitiza kuwa vyombo vya dola vimejipanga kuhakikisha uchaguzi huo unafanyika katika mazingira ya amani na utulivu. Akijibu swali bungeni leo Jumatano Mei...
  7. mwanamwana

    PreGE2025 Sheikh Mkuu BAKWATA Mwanza: Kauli yoyote inayoashiria kuvunja amani ya nchi kuelekea uchaguzi mkuu tuikatae

    Sheikh Mkuu wa Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) Mkoa wa Mwanza, Sheikh Hassan Kabeke, amesema kuwa kumeanza kutokea viashiria vya lugha mbaya zinazotoka kwa viongozi wa kisiasa nchini, ambazo zinaweza kusababisha amani ya nchi kupotea. Sheikh Kabeke amesema hayo wakati wa mashindano ya...
Back
Top Bottom