amani na maadili

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    GE2025 Jeshi la Polisi: Tunawahakikishia hakuna tishio lolote la kiusalama kuelekea kesho Oktoba 29

    TAARIFA KWA UMMA Jeshi la Polisi linaendelea kuwahakikishia kuwa kuna usalama wa kutosha tunapoelekea kesho tarehe 29.10.2025 siku ya kupiga kura, kwani hakuna tishio lolote la kiusalama kama tulivyowahakikishia Oktoba 26, 2025. Aidha, lingependa kuwa tahadharisha kuwa, kuna kikundi cha watu...
  2. Waufukweni

    GE2025 Hotuba za Wanasiasa kwenye nyumba za Ibada zinadumisha amani na maadili ya Uchaguzi, au zinapotosha wapiga Kura na kuathiri uadilifu wa mchakato?

    Tanzania inakaribia Uchaguzi Mkuu Oktoba 2025. Joto la siasa limekuwa likipanda na kushuka, na majukwaa yanazidi kutafutwa, ikiwemo Nyumba za Ibada. Lakini je, hii ni sawa? Wanasiasa wanapohutubia kwenye Makanisa au Misikitini, wengine husema wanajenga maadili, amani na mshikamano. Lakini Je...
  3. Waufukweni

    Waziri Ulega: Tunafanya kazi usiku na mchana kulinda amani

    Waziri wa Ujenzi na mbunge wa Mkuranga, Abdallah Ulega ameaungana na wananchi wa wilaya hiyo, kufanya dua maalumu ya kumuombea Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika utekelezaji wa majukumu yake, pamoja na kuliombea Taifa ili liwe na amani, umoja na mshikamano utakaowezesha maendeleo endelevu...
Back
Top Bottom