Alexander Litvinenk alikuwa afisa wa ujasusi wa Urusi (FSB) ambaye aliuawa kwa sumu mwaka 2006
Alizaliwa: 1962, Urusi.
Alifanya kazi katika KGB na baadaye FSB (huduma ya usalama ya Urusi).
Alikimbia Urusi na kupewa hifadhi (asylum) nchini Uingereza mwaka 2000 baada ya kupinga ufisadi na uhalifu uliohusishwa na serikali ya Urusi na Vladimir Putin.
Alifariki: 23 Novemba 2006 London, baada ya kupigwa Polonium-210 (sumu ya mionzi) iliyowekwa kwenye chai yake katika hoteli ya Millennium Hotel.
Kifo chake:
Kifo chake kilikuwa moja ya visa maarufu vya "assassination" nchini Uingereza.
Upelelezi wa Uingereza ulimuhusisha moja kwa moja Andrey Lugovoy (afisa wa zamani wa FSB) na Dmitry Kovtun.
Mahakama ya Uingereza ilihitimisha kuwa kifo chake kiliidhinishwa na Vladimir Putin mwenyewe.
Part 1:
Ukisoma au kusikia balaa lililomwandama Alexander Litvinenko hadi kifo chake, waweza kudhani ni simulizi kutoka kwenye filamu au riwaya flani. Litvinenko alikuwa shushushu wa shirika la ushushushu la Russia, FSB, katika kitendo cha kubaliana na uhalifu mkubwa (organised crime). Kabla ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.