albanie marcossy

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Waufukweni

    PostGE2025 Kada wa CCM, Dkt. Marcossy: Udhaifu uliokuwa ndani ya CHADEMA ndiyo umefanya wasishiriki uchaguzi

    Msikilize kada wa CCM, Dkt. Albanie Marcossy akieleza kwanini CHADEMA hawakushiriki uchaguzi Mkuu 2025 eti anadai "Udhaifu uliokuwa ndani ya CHADEMA ndiyo umefanya wasishiriki uchaguzi" Soma: Dkt. Albanie: Polepole anataka kuharibu Uchaguzi, apuuzwe Kweli CDM nidhaifu mbele ya CCM hii? ambayo...
  2. Mohamedi Mtoi

    Mwanaharakati Albanie Marcossy atoweka kunusuru maisha yake

    Mwanaharakati Marcosy Albanie ametoweka nyumbani kwake baada ya kufuatiliwa na watu wasio julikana kwa kipindi cha siku kadhaa. Mtakumbuka mara ya mwisho Bwana huyu alionekana kwenye kipindi cha kipima joto kilicho rushwa kwenye runinga ya ITV kikimshirikisha yeye, mbunge wa Singida mashariki...
Back
Top Bottom