Ningependa kupata ufafanuzi kuhusu matumizi ya mfumo wa TAESA katika utoaji wa fursa za mafunzo kwa vitendo (internship) na ajira kwa vijana.
Kwa muda mrefu tumekuwa tukihamasishwa kujiunga na kujisajili katika mfumo wa TAESA, lakini binafsi tangu nilipojiunga zaidi ya mwaka mmoja uliopita...
Nafanyaje chuo changu nilichosomea Diploma hakionekani Ajira Portal Mpya.
Chuo ni Al Maktoum College of Engineering and Technology (AMCET) - Registered by NACTE as REG/EOS/039 (Full Registration) kipo Mbezi Beach.
1. Nimejaribu kupiga chuoni: Wanasema shida sio yao ni ya Ajira Portal.
2...
Habari wana JF,
Hivi ni kweli utumishi wanataka cheti chenye majina matatu?
Na je sisi ambao vyeti vya taaluma vina Initial tu pale jina la kati kati inakuwaje?
Je, sisi wenye vyeti vya taaluma vyenye jina la kati kati Initial pekee inatakiwa tufanyaje?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.