ajira ya udereva

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. jaytemutz

    Swali kuhusu vigezo vya ajira ya udereva kwenye taasisi za umma

    Naomba kuuliza kwenye maombi ya kazi ya udereva kwenye taasisi za umma je leseni daraja c1 na c2 inakubalika hata kama kwenye vigezo vilivyowekwa ni C&E na kwenye mfumo wa ajira portal umeitwa kwenye usaili?
  2. Ngosha36

    Nahitaji ajira ya udereva

    Habari za usiku wapendwa me kijana wa miaka 26 Nmesoma mambo ya udereva Nina class A, A2, B, D, E Elim yangu Kidato Cha 4 Uzoefu wa miaka 5 Pia nmefanya kazi kampuni tofaut tofaut pia vyeti vya utumish ninavyo Nahitaji kampunii au taasisi au kiongozi kikubwa mkono uende kinywanii napatikana...
  3. Rashidmayunga

    Natafuta gari la kufanyia taksi mtandao - Bolt & Uber. Nina uzoefu wa miaka mitano

    Natafuta gari ya kufanyia taksi mtandao - maarufu Bolt au Uber. Uzoefu ni miaka mitano hapa Dar es Salaam. Kwa mwenye gari anipigie kwa namba 0759280756. Gari ni IST, Sienta, Passo, Ractis, Raum au Vitz
Back
Top Bottom