ajali ya basi mbeya

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. R

    Wanafunzi 6 wafariki kwa kugongwa na basi Mbeya

    Wanafunzi 6 wa shule ya Sekondari Chalangwa iliyopo Halmashauri ya Wilaya ya Chunya mkoa wa Mbeya, waliokuwa wakifanya mazoezi barabara kuu ya Chunya-Mbeya , wamefariki dunia kwa kugongwa na basi la Safina aina ya Yutong lenye namba za usajili T 194 DCE, linalofanya safari zake kutoka Lwalaje...
  2. Waufukweni

    Mbeya: Abiria wanusurika kifo baada ya Basi la New Force kugonga Malori matatu Mlima Nyoka

    Abiria wamenusurika kifo kufuatia ajali ya basi la New Force liliokuwa linatokea Dar es Salaam kuelekea Tunduma kugongana na malori matatu maeneo ya Mlima Nyoka jijini Mbeya ambapo baadhi ya abiria wamepata majeraha madogo madogo. Picha: ITV Digital
  3. J

    11 wafariki dunia, 44 wajeruhiwa kwa ajali ya basi Mbeya

    Watu 11 wamepoteza maisha na wengine 44 wamejeruhiwa baada ya basi la Kampuni ya A-N Coach kupata ajali katika eneo la Luanjilo Wilaya ya Mbeya Vijijini. Ajali hiyo imetokea alfajiri ya leo Ijumaa, Septemba 6, 2024 baada ya basi hilo lililokuwa likitoka Mbeya kwenda Tabora kupinduka wakati...
  4. ChoiceVariable

    Mbeya: Basi la Kampuni ya Shari lapata ajali Mbarali, Watu 9 wapoteza maisha, Polisi wamshikilia Dereva

    My Take Kila siku hapa Tanzania Kuna ajari inatokea inayoua watu na chanzo mara zote ni uzembe wa madereva. Swali,Je Serikali mumeshibdwa kuja na Sheria Kali za kuwadhibiti Hawa Madereva wanasababisha ajali Kwa uzembe? --- Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linamshikilia Dereva Alfredy Baharia...
Back
Top Bottom