Fundi Ally dereva bodaboda anayefanya shughuli zake kila siku Mtwara Mjini amewasihi vijana kujitokeza na kupiga kura Oktoba 29 ili kuchagua kiongozi anayefaa kuongoza pia amewasihi vijana kuepuka fujo hasa wakati wa uchaguzi inaweza kusababisha uvunjifu wa Amani ameyasema hayo leo wakati...
Katika kampeni za Chama cha Mapinduzi (#CCM) zinazoendelea katika mkoa wa Kigoma mgombea urasi kupitia Chama hicho Samia Suluhu Hassan siku ya jana septemba 16, 2025 ameendelea kutoa ahadi zilezile ambazo walikuwa wanazitoa vipindi vyote vya kampeni, swali la kujiuliza mbona hizo ahadi bado...
Akizungumza leo Septemba 15, 2025 Kutoka Kijiwe cha Kivulini, Mikocheni – Hanifa Mgonela, Mwanachama wa chama cha CUF anaweka wazi namna ambavyo suala la ajira Tanzania limekuwa fumbo lililokosa majawabu.
Tangu Chama cha Mapinduzi (CCM) kilipozindua kampeni zake za uchaguzi mkuu wa Oktoba 28, 2025 katika uwanka wa Tanganyika Packers Kawe jijini Dar es Salaam, kumekuwa na mijadala kuhusu ahadi zinazotolewa na mgombea urais wa chama hicho, Samia Suluhu Hassan.
Miongoni mwa ahadi zilizotolewa na...
Tujikumbushe kidogo ahadi 10 za wana CCM kwa chama chao. Zamani za Mwl. Nyerere kabla ya kupata kadi, wana CCM walitakiwa kuhitimu kwanza darasa la itikadi ya Ujamaa na Kujitegemea. Siku ya kukabidhiwa kadi, ilihitimishwa kwa tamko la mwanachama mpya kuunga mkono ahadi 10 za mwana CCM. Hapa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.