ahadi za ccm

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. R

    GE2025 Fundi Ally dereva bodaboda: Kiongozi siyo lazima atekeleze ahadi zote, Tujitokeze kupiga kura tusifanye fujo

    Fundi Ally dereva bodaboda anayefanya shughuli zake kila siku Mtwara Mjini amewasihi vijana kujitokeza na kupiga kura Oktoba 29 ili kuchagua kiongozi anayefaa kuongoza pia amewasihi vijana kuepuka fujo hasa wakati wa uchaguzi inaweza kusababisha uvunjifu wa Amani ameyasema hayo leo wakati...
  2. tonicimmobility

    GE2025 Miaka yote hiyo bado CCM ina ahidi kupeleka maji vijijini, ujenzi wa miundo mbinu?

    Katika kampeni za Chama cha Mapinduzi (#CCM) zinazoendelea katika mkoa wa Kigoma mgombea urasi kupitia Chama hicho Samia Suluhu Hassan siku ya jana septemba 16, 2025 ameendelea kutoa ahadi zilezile ambazo walikuwa wanazitoa vipindi vyote vya kampeni, swali la kujiuliza mbona hizo ahadi bado...
  3. DuaZaMama

    GE2025 Mwanachama CUF: Ahadi za CCM ni zile zile wameshindwa kutimiza ndani ya miaka 30

    Akizungumza leo Septemba 15, 2025 Kutoka Kijiwe cha Kivulini, Mikocheni – Hanifa Mgonela, Mwanachama wa chama cha CUF anaweka wazi namna ambavyo suala la ajira Tanzania limekuwa fumbo lililokosa majawabu.
  4. Parabolic

    GE2025 Ahadi za CCM zinavyobua mjadala

    Tangu Chama cha Mapinduzi (CCM) kilipozindua kampeni zake za uchaguzi mkuu wa Oktoba 28, 2025 katika uwanka wa Tanganyika Packers Kawe jijini Dar es Salaam, kumekuwa na mijadala kuhusu ahadi zinazotolewa na mgombea urais wa chama hicho, Samia Suluhu Hassan. Miongoni mwa ahadi zilizotolewa na...
  5. Dr Adam Francis

    PreGE2025 Tujikumbushe ahadi 10 za wana CCM

    Tujikumbushe kidogo ahadi 10 za wana CCM kwa chama chao. Zamani za Mwl. Nyerere kabla ya kupata kadi, wana CCM walitakiwa kuhitimu kwanza darasa la itikadi ya Ujamaa na Kujitegemea. Siku ya kukabidhiwa kadi, ilihitimishwa kwa tamko la mwanachama mpya kuunga mkono ahadi 10 za mwana CCM. Hapa...
Back
Top Bottom