The 2025 Africa Cup of Nations, also referred to as AFCON 2025 or CAN 2025, is scheduled to be the 35th edition of the biennial African football tournament organised by the Confederation of African Football (CAF). It will be hosted by Morocco for the second time and the first since 1988. Morocco was originally scheduled to host the 2015 edition, but withdrew due to fears stemming from the Western African Ebola virus epidemic. Due to FIFA expanding its Club World Cup competition to 32 teams and having it scheduled for June and July that year, this edition of the tournament will be played between 21 December 2025 and 18 January 2026.
The situation has been further complicated by the addition of two extra match days scheduled for the last two weeks of January in the expanded Champions League that begins next season in Europe. That means the traditional window for Afcon in mid-January to mid-February – when the knockout stages of the Champions League are due to start – is likely to cause even more disruption than usual.
This edition of the tournament was scheduled to be the second after 2019 to take place during the northern hemisphere's summer, in order to reduce scheduling conflicts with European club teams and competitions; the previous 2023 edition was moved to January and February 2024 owing to the adverse summer weather conditions in Ivory Coast.
Guinea was originally set as hosts for this edition of the tournament, but had its hosting rights stripped after affirming its inadequacy of hosting preparations. After a second bidding process, Morocco was named as the new hosts on 27 September 2023. Ivory Coast are the defending champions.
Mahakama ya Usuluhishi wa Michezo (CAS) imetangaza kuwa itatoa uamuzi wa rufaa ya Senegal "haraka iwezekanavyo" kufuatia hatua ya nchi hiyo kupinga kuvuliwa taji la Mataifa ya Afrika (AFCON).
Kiini cha Mzozo
Shirikisho la Mpira wa Miguu barani Afrika (CAF) liliamua kuwanyang’anya Senegal...
Morocco imetawazwa kuwa mabingwa wa Kombe la Mataifa ya Afrika la 2025 baada ya uamuzi mzito siku ya Jumanne kueleza kuwa ushindi wa bao 1-0 wa Senegal kwenye fainali umebatilishwa.
Senegal ilikuwa imeshinda mechi hiyo huku Pape Gueye akifunga bao la ushindi katika muda wa nyongeza, lakini...
Shirikisho la Soka Afrika (CAF) limetoa adhabu kali na zisizo za kawaida dhidi ya Senegal na Morocco kufuatia ukiukwaji wa nidhamu uliotokea katika fainali ya AFCON 2025. Senegal imepigwa faini ya jumla ya dola za Marekani 615,000, ikijumuisha dola 300,000 kwa utovu wa nidhamu wa mashabiki, dola...
CAF imesema tabia hiyo ni “unacceptable behaviour”.
Thiaw atasimamishwa (suspension), idadi ya mechi bado haijatangazwa.
CAF inachunguza video zote, na kuna uwezekano wa adhabu zaidi kwa maofisa au wachezaji.
My take:
Senegal wanapaswa waondolewe ushiriki wa kombe la dunia maana walionesha...
AFCON 2025 Final Preview:
Wenyeji Morocco wako tayari kwa pambano kubwa dhidi ya mabingwa wa 2021 Senegal
Mchuano wa fainali wa Kombe la Mataifa ya Afrika 2025 unapingwa rasmi leo usiku m,ajira ya saa 4. Wenyeji na waliokuwa vinara kabla ya mashindano kuanza, Morocco, watakutana na mabingwa wa...
Rais wa Shirikisho la Soka la Cameroon (FECAFOOT), Samuel Eto’o, amefungiwa kuhudhuria uwanjani kwa mechi nne na kutozwa faini ya dola 20,000 za Marekani (Sh49.6 milioni), akidaiwa kufanya utovu wa nidhamu wakati wa mechi ya robo fainali ambayo Cameroon ilipoteza dhidi ya Morocco kwenye Kombe la...
Nigeria vs Morocco katika Nusu Fainali ya AFCON 2025 mchezo uliopangwa kufanyika kwenye Stade Prince Moulay Abdallah, Rabat ni pambano la kihistoria kati ya nchi mbili kuu za soka barani Afrika ambazo zote zimefika kwenye hatua hii bila kupoteza mechi yoyote katika mashindano haya.
Nigeria ina...
Nje ya uwanja vyombo vya habari nchini Mali vimeripoti kukamatwa bwana mmoja aliyefahamika kwa jina la Sinayogo ,ambaye ni Mganga wa kienyeji , hii baada ya kudaiwa kupokea jumla ya €33,500 [Tsh. 97 Milioni] akiwahakikishia watu kuwa Mali itabeba ubingwa wa AFCON.
Sinayogo alikusanya pesa hizo...
Mpira ulikuwa mzuri na ulikuwa huru na haki naipongeza sana Morocco imepata ushindi wa kishindo kutokana na jitihada kubwa pamoja na maandalizi mazuri waliyo kuwa nayo.
Lakini pia nampongeza sana Refa kwa kahakikisha amani inalindwa kikamilifu wakati wote wa mchezo ingawa kuna wahuni wachache...
Tumekuwa tukipigiwa kelele sana na watawala wa CCM na vibaraka na machawa wao kuwa HAKI sio priority namba moja dhidi ya AMANI (yaani ukondoo).
Lakini Mungu January hii ameamua kutufumbua kwa kuruhusu uchungu, kuondolewa kwa nguvu madarakani kwa mpinga HAKI za kiraia Rais Maduro ili apelekwe...
Mchezo wa Tanzania dhidi ya Morocco katika hatua ya 16 Bora ya AFCON 2025 unapigwa leo Januari 4, 2026, katika Uwanja wa Prince Moulay Abdellah, Rabat, Morocco. Huu ni mchezo wa kihistoria kwa Taifa Stars ambao kwa mara ya kwanza wamefanikiwa kufika hatua ya mtoano katika michuano ya Kombe la...
Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) limeibua gumzo mitandaoni baada ya kuposti picha ya nyota wa soka Msuva akishangilia bao, ikiambatana na maneno "Sarakasi za kiuhalisia, bila ya nywi nywi wala nywi nywi nywi."
Kauli hiyo ilitolewa na Samia wakati wa kampeni, alipokuwa akionya...
Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, itashuka dimbani leo katika mchezo wake wa mwisho wa Michuano ya Mataifa ya Afrika (AFCON 2025) inayoendelea nchini Morocco. Mchezo huo utafanyika katika Uwanja wa Stade Prince Moulay Abdallah, kuanzia saa 1:00 kamili usiku kwa saa za Afrika Mashariki...
Ukitizama michuano ya AFCON unapata ladha ya soka la Ulaya kwa kiasi kikubwa kutokana na aina ya wachezaji na team wanazochezea Ulaya.
Mfano kikosi cha timu ya Taifa ya Congo chote kinacheza soka la Ulaya kasoro Mayele pekee.
Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, inaendelea kukumbwa na wakati mgumu nchini Morocco baada ya kuruhusu bao moja hadi kufikia dakika ya 40 ya kipindi cha kwanza katika mchezo dhidi ya Nigeria.
Ikumbukwe kuwa msafara wa Taifa Stars unaongozwa na Naibu Waziri wa Wizara ya Habari, Utamaduni...
Hello
Kupitia analysis fupi niliyofanya nimekuja na majibu kwamba Tanzania tuna asilimia kubwa 99% kubeba kombe hili
Timu nyingi za Taifa ambazo ni magiant round hii zinacheza mpira wa ovyo na hazina ubora ule tuliouzoea siku zote
Viwango vya wachezaji havipishani sana baina ya yale mataifa...
Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda ndiye ataongoza msafara wa Tanzania katika Fainali za Mataifa ya Afrika (AFCON) zitakazofanyika Morocco kuanzia Desemba 21, mwaka huu hadi Januari 18, mwakani.
Hilo limethibitishwa leo na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.