J jipange JF-Expert Member Oct 13, 2012 209 44 Oct 25, 2015 #1 Habari toka kagera Kashai msimamiz hajafika na yupo na vifaa vya kupiga kura. Hii ni hatare. Source itv.
Habari toka kagera Kashai msimamiz hajafika na yupo na vifaa vya kupiga kura. Hii ni hatare. Source itv.
NAKEMBETWA JF-Expert Member Apr 20, 2012 3,518 3,130 Oct 25, 2015 #2 na hapatikani hata simu zake, ila wamanchi wamesema hawatoki kituoni
Ngigana JF-Expert Member Apr 16, 2010 2,102 1,436 Oct 25, 2015 #5 Inawezekana bado hajamaliza kuwaasaidia kuwawekea tick. Wavute subira ataonekana
C Critical1 Member Mar 28, 2011 35 4 Oct 25, 2015 #6 Mmmh, kama yupo hai atapatikana tu....hofu yangu kama uhai wake umetoweka
MURUSI JF-Expert Member Jun 25, 2013 4,493 8,724 Oct 25, 2015 #7 Subilini tunaendelea kuweka tiki , kwa sasa tumefikia tiki elfu 1500 na lengo ni tiki 4000 waambie wavute subira atakuja
Subilini tunaendelea kuweka tiki , kwa sasa tumefikia tiki elfu 1500 na lengo ni tiki 4000 waambie wavute subira atakuja