The fear of the unknown is the greatest fear of all, Sumaye katufungua.

The fear of the unknown is the greatest fear of all, Sumaye katufungua.

The Evil Genius

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2014
Posts
6,151
Reaction score
20,077
Hofu ya kitu usichokijua ni hofu kubwa kuliko hofu zote. Ccm wamewajaza watu hofu ya vitu wasivyovijua na kuwaogopesha lakini Mungu mkubwa Sumaye jana kawafungua watanzania.

Ccm imepanda hofu kwenye mioyo wa watanzania kwamba wakichagua wapinzani wakutakua na amani,sasa watu kwa kua hawajawahi kupitia hali hiyo na kwa kua hawajui kitakachotokea kweli wanaogopa.

Jana Mheahimiwa Sumaye aliwafungua watanzania kwamba huo ni uzandiki na unafiki wa ccm kudanganya watu ili kuwajaza mashaka na wasiwasi ili waendelee kutawala, sasa watu wamejua, ccm siku zenu zinahesabika.

October 25: Kwa jinsi hii Mungu aliipenda Tanzania hadi akatuletea Lowassa ili kila atakaempigia kura awe na maisha mazuri.

Lowassa baba, kamua baba. Wewe ni mteule wetu toka kwa Mungu kuja kutuokoa toka kwa farao ccm.
 
Sumaye hajaweza kutueleza suala la radar na ndege ya rais.

Sumaye ni mtu ambaye anabadilika kama kinyonga. Haeleweki anazungumzia nini

UKAWA jana mmetuangusha wapenzi wenu. CHADEMA ya Dr Slaa sio ya sasa....ya sasa ni CCM B. Hatukuona fikra zaidi ya mipasho ya akina Tambwe Hiza.

Dr Slaa tutakukumbuka daima. Heri ujiunge ACT Wazalendo kuliko kukaa na mafisadi.
 
Sumaye hajaweza kutueleza suala la radar na ndege ya rais.

Sumaye ni mtu ambaye anabadilika kama kinyonga. Haeleweki anazungumzia nini

UKAWA jana mmetuangusha wapenzi wenu. CHADEMA ya Dr Slaa sio ya sasa....ya sasa ni CCM B. Hatukuona fikra zaidi ya mipasho ya akina Tambwe Hiza.

Dr Slaa tutakukumbuka daima. Heri ujiunge ACT Wazalendo kuliko kukaa na mafisadi.
Wewe muulize kwanza kkikwete na escrow maana bado yupo,utaulizaje mambo ya zamani wakati ya sasa unayaangalia, muulize epa aliowasamehe ni kina nani na walirudisha kiasi gani kikp wapi na bank slip zakke,pembe za ndovu je,mabarabara mabovu,hiyo penalty ya bilioni 900 hela wamepeleka wapi,mabehhewa mabovu nk.

Uliza kwanza hayo upate majibu.hoja dhaifu kabisa eti ccm b, mchezaje wa chelsea akihamia man u itaitwa chelsea b? Ccm leteni hoja sio porojo.

Lowassa ikulu moja kwa moja.
 
Yah!!! Hakuna hofu mbaya kama hofu ya kitu usichokijua.

Ndio maana hata mzungu alitumia biblia kututawala.
 
Sumaye hajaweza kutueleza suala la radar na ndege ya rais.

Sumaye ni mtu ambaye anabadilika kama kinyonga. Haeleweki anazungumzia nini

UKAWA jana mmetuangusha wapenzi wenu. CHADEMA ya Dr Slaa sio ya sasa....ya sasa ni CCM B. Hatukuona fikra zaidi ya mipasho ya akina Tambwe Hiza.

Dr Slaa tutakukumbuka daima. Heri ujiunge ACT Wazalendo kuliko kukaa na mafisadi.

escrow imeishia wapi
 
Wewe muulize kwanza kkikwete na escrow maana bado yupo,utaulizaje mambo ya zamani wakati ya sasa unayaangalia, muulize epa aliowasamehe ni kina nani na walirudisha kiasi gani kikp wapi na bank slip zakke,pembe za ndovu je,mabarabara mabovu,hiyo penalty ya bilioni 900 hela wamepeleka wapi,mabehhewa mabovu nk.

Uliza kwanza hayo upate majibu.hoja dhaifu kabisa eti ccm b, mchezaje wa chelsea akihamia man u itaitwa chelsea b? Ccm leteni hoja sio porojo.

Lowassa ikulu moja kwa moja.

Epa ni kashfa iliyoibuka kipindi Sumaye akiwa waziri mkuu,sioni uadilifu wowote wa sumaye
 
Sumaye atueleze kwanini amejilimbikizia ardhi kubwa kila mkoa wa Tanzania.

Kama anatupenda aanze kwa kutaka viwanja vyake vyote alivyovipata kwa njia ya ufisadi vitaifishwe....aanzie Kilombero.

Hatudanganyikiii.....
 
Sumaye hajaweza kutueleza suala la radar na ndege ya rais.

Sumaye ni mtu ambaye anabadilika kama kinyonga. Haeleweki anazungumzia nini

UKAWA jana mmetuangusha wapenzi wenu. CHADEMA ya Dr Slaa sio ya sasa....ya sasa ni CCM B. Hatukuona fikra zaidi ya mipasho ya akina Tambwe Hiza.

Dr Slaa tutakukumbuka daima. Heri ujiunge ACT Wazalendo kuliko kukaa na mafisadi.
Hv unajua kwann chadema walimchagua Dr.slaa kugombea uraisi 2010?,acha kuwa na mihemko face reality ndugu.mh lowassa anatufaa kwa sasa
 
Lowassa huyu ninayemfaham...huyu ambaye hata Mwl Nyerere katika uhai wake alimkataa kwa ufisadi huyu.

Sitakaa nifikirie awe kiongozi wangu...achilia mbali kumpigia kura.

Ile kauli ya malofa nimeanza kuiona inayo mashiko.

Yani huyuhuyu Lowassa kubwa la mafisadi....hapana.
 
Tunayahitaji mabadiliko lakini sio kupitia kwa Lowassa.

Lowassa sio mtu sahihi wa kuongoza mabafiliko. Hana hata vision hawezi kueleza kwa ufasaha mipango yake. Isitoshe historia inamhukumu.

Siwezi kumnyima kura Dr Magufuli eti kwasababu ya escrew n.k wakati hakushiriki wala hajawahi kutajwa kwa ufisadi.

Watanzania tumeamua kumnyima kura Lowassa kwasababu ya ufisadi wake....kwasababu ya Richnond aliiiba na ushahidi upo....
 
Wewe muulize kwanza kkikwete na escrow maana bado yupo,utaulizaje mambo ya zamani wakati ya sasa unayaangalia, muulize epa aliowasamehe ni kina nani na walirudisha kiasi gani kikp wapi na bank slip zakke,pembe za ndovu je,mabarabara mabovu,hiyo penalty ya bilioni 900 hela wamepeleka wapi,mabehhewa mabovu nk.

Uliza kwanza hayo upate majibu.hoja dhaifu kabisa eti ccm b, mchezaje wa chelsea akihamia man u itaitwa chelsea b? Ccm leteni hoja sio porojo.

Lowassa ikulu moja kwa moja.

Hawezi kukujibu mkuu,kuna watu wako brainwashed na CCM,nilikuwa namuambia rafiki yangu mmoja juzi.....hv ni Kashfa ngapi umezisikia ndani ya Nchi hii.....akaanza, EPA,ESCROW,BOT ZILE TWIN TOWER,MENO YA TEMBO, DAWA ZA KULEVYA,UFISADI KWENYE HALMASHAURI, RICHMOND,MEREMETA,BUZWAGI,KIWIRA,SHIRIKA LA NDEGW KUFILISIWA.......ulikuwa ni mnyororo wa kadhia, nikamuambia sasa iweje tunaambiwa tu hiyo moja ya Richmond........hakukuwa na jibu.
CCM ni ya kutoa madarakani, bila hata kupepesa macho, october 25 tuwaambieni imetosha.
 
Tunayahitaji mabadiliko lakini sio kupitia kwa Lowassa.

Lowassa sio mtu sahihi wa kuongoza mabafiliko. Hana hata vision hawezi kueleza kwa ufasaha mipango yake. Isitoshe historia inamhukumu.

Siwezi kumnyima kura Dr Magufuli eti kwasababu ya escrew n.k wakati hakushiriki wala hajawahi kutajwa kwa ufisadi.

Watanzania tumeamua kumnyima kura Lowassa kwasababu ya ufisadi wake....kwasababu ya Richnond aliiiba na ushahidi upo....

Usisemee watanzania. Jisemee wewe. Na kwa sasa, kila mwenye utimamu anelewa kitachotokea baada ya 25Okt....
Mnachofanya sasa ni kutapatapa kabla ya kufa maji.... Na hivi ni Mafuriko.....!!
 
Back
Top Bottom