Naombeni sana msimpe ushirikiano wowote demu huyu kwa sababu anataka kuniingiza mkenge

Naombeni sana msimpe ushirikiano wowote demu huyu kwa sababu anataka kuniingiza mkenge

Status
Not open for further replies.

zinc

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2013
Posts
1,391
Reaction score
1,069
Ndugu wadau wa JF,

Kuna demu wa humu MMU ana nia mbaya na mimi, juzi kanipigia simu na kunieleza eti kwamba ana mimba yangu.

Binafsi nilipata mshangao na kumuuliza baadhi ya maswali, akaishia kujichekesha kama Jokate. Basi nikaamua kukata simu baada ya kuona mizinguo, toka siku hiyo anajaribu kunipigia lakini mimi sipokei simu kwani nimeshamsoma tabia yake, ameamua kunitumia messages zisizo na mipaka, ananitukana na kunitishia maisha.

Cha ajabu zaidi kanitishia kwamba eti atamtafuta Joyce Kiria yule wa wanawake live sijui, ili aone njia yoyote atakayopata kwa ajili ya kunikomoa.

Pia hakuishia hapo, kuna text mojawapo amesema ataenda mbele zaidi kwa kuwashirikisha wadau wa humu ndani JF, ili aone ushauri atakaoupata ambao utalenga zaidi maslahi yake.

Nawaombeni wadau huyu demu msimpe ushirikiano wowote, zaidi mjaribu kumuhoji kama ana hoja za msingi.
 
kumekuchaaaa utueleze ilikuwaje?? hadi mkapeana mimba

My dear, niseme ukweli sina uhakika hata hiyo mimba yenyewe anayo. Yaani alivyonieleza anatunga tunga tu. Nashindwa kumuelewa demu huyu.
 
Ndugu wadau wa JF,

Kuna demu wa humu MMU ana nia mbaya na mimi, juzi kanipigia simu na kunieleza eti kwamba ana mimba yangu. Binafsi nilipata mshangao na kumuuliza baadhi ya maswali, akaishia kujichekesha kama j.o.k.a.t.e a.k.a mama k.i.d.o.t.i. Basi nikaamua kukata simu baada ya kuona mizinguo, toka siku hiyo anajaribu kunipigia lakini mimi sipokei simu kwani nimeshamsoma tabia yake, ameamua kunitumia messages zisizo na mipaka, ananitukana na kunitishia maisha.

Cha ajabu zaidi kanitishia kwamba eti atamtafuta j.o.y.c.e k.i.r.i.a yule wa wanawake live sijui, ili aone njia yoyote atakayopata kwa ajili ya kunikomoa. Pia hakuishia hapo, kuna text mojawapo amesema ataenda mbele zaidi kwa kuwashirikisha wadau wa humu ndani JF, ili aone ushauri atakaoupata ambao utalenga zaidi maslahi yake.

Nawaombeni wadau huyu demu msimpe ushirikiano wowote, zaidi mjaribu kumuhoji kama ana hoja za msingi.
Aise humu ndani kazi tunayo duh!!
Hebu nikuulize maswali kidogo tu ambayo yatakuwa yanajimba zaidi juu ya ombi lako la kutokumsaidia huyu mdada
Naomba uwe mkweli mwanaume mwenzangu ili kweli usaidiwe
Je mzigo ulimega au hukumega?
Je ulitumia kinga au dry?
Kwa nini hupokei simu za huyu mdada?
Je hofu yako ni nini kwa wanajf kama na yeye ataamua kuja kumwaga mchele hapa?
Je kuna lolote ambalo liko nyuma ya pazia ambalo usingependa wana jf kufahamu?
NAOMBA MAJIBU
 
Mkuu ulipiga dry?

Yeah mkuu! Tumekuwa tuna kung'utana kibishi bishi lakini kwa uhakika, kwani huyu demu huwa ananijulisha kabla. Sasa nimeona ananianzishia drama
 
My dear, niseme ukweli sina uhakika hata hiyo mimba yenyewe anayo. Yaani alivyonieleza anatunga tunga tu. Nashindwa kumuelewa demu huyu.

sasa sie tutamjuaje huyu mdada?
af mliduu sirin sasa iweje kenye ishu ya kumimbana uruke kimanga?
istoshe kama wewe ni matured enough you shld have opted kumtafuta ukapime uje ukcross check na siku mlizokutana nae and thats justifies everything sasa aya ya kuja apa jf mbona hujatatua tatizo?
af mie mbona nimeshamshauri mtu wa aina hii unayosema? na ukweli kwa kipimo tulichofanya leo ni mjamzito?
 
Anakutingisha tuu! SHE IS JUST SETTING YOU UP TO MUDDER YOURSELF AND YOU ARE ALREADY BLAFFING! Her plan worked well i can say! All she had to do was plant a few seeds of destruction! And all your wallss came crushing in self destruction! Its called DESTROYING YOU FROM THE INSIDE!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom