Ni kitambo sasa nimekuwa nawaza hivi inakuaje mwanamke anaweza kutoka nje ya ndoa wakati mume ulimpenda mwenyewe na mkakubaliana kwa moyo kabisa kuishi pamoja kama mume na mke.. that means umemkubali kwa kila kitu...Kwa wewe mwanaume ambaye umeoa na mkeo anakuonyesha mapenzi yote na kukupa na...
Habari zenu wana JF,
Nimekua mara nyingi najiuliza bila kupata majibu , na leo nimeona nirudi jamvini pengine nipate mawazo tofauti kutoka kwa wadau. Hivi ni kwanini wanaume kwa asilimia kubwa walio kwenye ndoa huongea kwa ukali/hawana lugha za kimahaba wanavyoongea na wake zao kwenye simu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.