naamunga mtikila mkono ukisoma rasimu ibara ya 1 inatambua Tanganyika wakati ukisoma ibara ya 2 inaitaja Tanzania bara kama sehemu ya muungano wamejichanganya mkuu
huyo ni mnafiki na chama chake cdm itawakomboa watanzania tuone atajificha wapi ,atafuta umaarufu asiokuwa nao hana sera inaonekana hata darasani alibebwa ,hata kazini alishikwa mkono ana uwezo mdogo kama chama chake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.