Jikubari jinsi ulivyo achana na mambo hayo ya kizushi.mwili hauna spare ukiharibika ndo basi teta, utapatawapi tena kifaa adim kama hicho unacho taka kukiharibu, au una ndege ya kwenda kwa Mungu kuchukua nyingine nini? Aise!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Naommba kujuzwa kuhusu hili,Hivi ninini kinacho mridhisha wmanamke wakati wa kujamiana. je niukubwa wa uume au unene,urefu wake.je nikwanini watu wengi wana tafuta dawa za kuongeza maumbile hayo!
Nini madhala ya dawa hizo kwa hapo baadae.
Makubwa!, sikushauli umpe hata hiyo simu kwakuwa huo sio mtaji wa kuchumia pesa. Pia raha ni kwa wote kwanini yeye adai malipo au ofa baada ya kazi, Lakini wajinga ndo waliwao chunguza kwa makin kabla ya kufanya jambo,kama mlipatana kwa mkataba huo sio mbaya, lakin unapo mtafuta mtu usimpe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.