Hapa tunatakiwa tuangalie msingi wa haya maamuzi kutokea. Mkumbuke hapa tulikuwa tunapiga kelele juu ya udhaifu wa wasaidizi wa JK.
Yeye kama Rais, pia ni mwenyekiti wa Chama. Tunafahamu kabisa, maamuzi kama haya hawezi kuyafanya peke yake kwa upande wa chama, huku akifanya majukumu ya...
na si kila nyumba iliuzwa, zile za posts za juu ziliachwa ili kuwe na makazi kwa wale wanaokuja kuchukua zile nafasi, kwa hiyo basi waliofaidika zaidi ni wafanyakazi wa ngazi za hapo kati.... msilaumu jamani kama wewe hukuwa serikalini na hukupata ya kununua usilaumu mbona wenzio tunajenga huko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.