Uislam hauruhusu utekaji na kusoma ndio amri ya kwanza kushuka kwa Mtume Muhammad S.A.W ule sio uislam ni wale waislam wenye mapungufu ya kutojua dini yao inataka nini.
Duh umeona ufunguke... Kwani hakuna wakristo kwenye bunge la katiba. Yeye akubali tu, si lazma wakristo wote wawepo ndo maana kuna idadi ya wawakilishi kupitia mlango wa dini. Mbona inaonekana ni big issue wakati waislam kuna madhehebu pia na wako wawili tu? Acha udini, hapa tuko kitaifa au...
Hata ingekuwaje, madhehebu yako mengi sana lazma kuna moja lingekosekana. Sasa bahati mbaya imemuangukia yeye... Mbona waislam mashia na wengineo hawalalamiki. Anaanza kuntia mashaka, hakutakiwa kuleta ujumbe huu. Alitakiwa kuliombea taifa kama yeye ni mtanzania na aache udhehebu, kama alikuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.