Mwaka huu maadhimisho ya wiki ya nenda kwa usalama barabarani yataadhimishwa rasmi mkoani Iringa kuanzia tarehe 17 hadi 22 Septemba. Kauri mbiu ni "Pambana Na Ajali Za Barabarani Zingatia Sheria". Mkoani Dar es Salaam uzinduzi utafanyika katika viwanja vya Mnazi Mmoja kuanzia sa mbili asubuhi...
Mwaka 2008 asilimia 75 ya ajali za barabarani zilisababishwa na sababu za kibinadamu kama mwendo kasi, uzembe wa madereva, kuendesha ukiwa umelewa n.k , wakati hali ya barabara na ubovu wa magari ulichangia asilia 25 (Chanzo: Ripoti ya Mwaka ya Trafiki Tanzania, 2012) . Sasa tujiulize...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.