Ualimu ni kazi sio kama kazi nyingine rahisi rahisi inahitaji kupewa heshima kubwa sana, Wadau wa Elimu wakubwa ni Waalimu wanavyodai haki zao ijulikane kuwa mazingira ya kazi na stahili zao haziko shwari kabisa. Uwezo wa kutoa elimu ni fani isiyo elezeka kisaikolojia kwa maana Elimu ni ufunguo...
Jamani nina hisi wanafunzi wengi watafeli sana mwakani. Kwa kuanzia kudodosoa nianze na hawa wa kidato cha pili wengi hawana sifa za kuwepo katika kidato hicho kwasababu zifuatazo, wengi hawana uwezo wa kusoma au kuelewa lugha ya kiingereza. Wengi wao hawawezi kuumba herufi yani hata neno...
Jamani nina hisi wanafunzi wengi watafeli sana mwakani. Kwa kuanzia kudodosoa nianze na hawa wa kidato cha pili wengi hawana sifa za kuwepo katika kidato hicho kwasababu zifuatazo, wengi hawana uwezo wa kusoma au kuelewa lugha ya kiingereza. Wengi wao hawawezi kuumba herufi yani hata neno...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.