mkuu mbona yule jangili na mwenzake nepi walikuwa wanawatoa watoto mashuleni na kuwavisha nguo za kijani siku hizohizo za kazi? au CHADEMA ndo hawaruhusiwi kufanya mikutano siku za kazi? KWA MTINDO HUO HATA HIZO EFU 7 ZA LUMUMBA unaweza kuzikosa kama hautakuwa makini na kazi yao waliyokutuma!
huyu rc ni wa ajabu xaaaanaaaa,aliwahi kutangaza kuwa akiona mwananchi yeyote amelima mahindi ndani ya mkoa wake atayafyeka,cha kushangaza baa la njaa likija chakula cha msaada kinacholetwa ni mahindi, sasa siku moja aliulizwa mbona unatukataza kulima mahindi unataka tulime mtama na uwele tu...
mi nilijua wanatest vifaa kwa ajili ya kupigania ziwa le2 lisichukuliwe na malawi kumbe wanaitishia CHADEMA duuuuh hii nchi tunaelekea wapi lakini? MUNGU 2SAIDIE!
mkuu mahakama ilizuia kikao ambacho kilikaa kumjadili mh.HAMAD kutokana na pingamizi ambalo aliliwasilisha katika mahakama hiyo,taarifa ilipelekwa chamani kabla siku ya kikao na hata siku ya kikao walionyeshwa hati ya mahakama kuzuia mkutano huo ila walipuuzia na wakaendelea na mkutano na...
mbona hao mabondia walishaachiwa huru kitambo! mmojawapo ni EMILIAN PATRICK yule ambaye waTZ walishaanza kumchangia pesa ili akawakilishe vyema ktk mashindano ya OLYMPICS kule BEIJING mwaka 2008,ndo wakati anaenda kufanya maandalizi MAURITIUS akakumbwa na mkasa huo ila sasa yupo uraiani kitambo...
Hivi ule mpango wa kuishtaki serikali kwenye mahakama ya ICT kule THE HAGUE uliishia wapi jamani? hivi vitu kweli vinakera na wanafanya hivi wakijua kwamba hatuna namna yoyote tunaweza fanya kama sio kuwaachia wao wajihukumu wenyewe na vyombo vyao vinavyowatumikia.MUNGU TUSAIDIE WATANZANIA...
mkuu ungetyafuta hizo taarifa kwanza afu ndo uje uweke uzi huu,kichwa cha habari hapo juu kimeonesha una uhakika na tukio kumbe na we mwenyewe unaomba kujuzwa lol! WATANZANIA tuna kazi kubwa kweli kweli!
A GREAT THINKER? rudisha hela za nepi alizokupa mana kazi yake umeshindwa kuifanya kwa ufasaha,NO RESEARCH,NO CORRECT DATA NO RIGHT TO SPEAK.mkajifungie tena pale lumumba mjipange upyaa!
mkuuu usimshangae huyo ni aina ya wanachama wa magamba waliopo hivi sasa,hajui hata meya anaongoza manispaa wakati jerry slaa wanamwita mstahiki meya kwa kuongoza manispaa ya ilala,halafu eti naye anajiita GREAT THINKER mh ama kweli nyinyiem inachangia kufifisha ubongo wa wanachama wake na...
daah jamani njaa mbaya huyu jamaa wakati yupo cuf alikuwa msumbufu kwa serikali na polisi haohao anaowatetea leo,hata mauaji ya kule ZENJI aliyalaani tena sana ila leo yupo NYINYIEMU anawasifia polisi eti walikuwa wanatekeleza majukumu yao,mh napata shida sana kuamini anayoyasema kwani sidhani...
acha watapetape mwisho wa tote ni 2015 tuombe MUNGU watukamilishie mchakato wa vitambulisho vya taifa ili wasiwe na visingizio kuwa eti fulani sio raia ili tusipige kura INSHAALLAH
wacwac wangu ni hawa TBCCM kama watakubali kujiunga na waandishi wenzao kupigania haki zao.MUNGU TUJALIE HEKIMA NA BUSARA hawa CHUKUA CHAKO MAPEMA wanatupelekea nchi yetu pabaya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.