ADC ni chama cha siasa kinachotetemesha vyama vyenye Rushwa tena vya upinzani,kirefu chake niAlliance for Democrtic Change,Tatizo hapa ni shule,kwa sasa kina ungwa mkono mikoa kumi na Tano nakimeshadhaminiwa na mikoa saba,HIKI si chama cha kikanda,KAMACUF pemba CDM, kule kwa wachaga na mule mwa...
Hv ni kafulila AMA kafulia? Maana huu ni utumbo, hii inaonyesha ni jinsi gani tuna wanasiasa vilaza wabinafsi na wenye uroho WA madaraka. Hv hiyo democrasia inayosema kwamba Lazima 2015 Rais ajaye WA TZ atoke Kigoma ni ya wapi tena? Hv anajua Maana ya democracy huyu? Na Kama anajua sasa huo...
Colour za CDM, Pandikizi, Kumteka Ulimboka....dah! Umetisha, Kweli wewe kibaraka.....Hv mpinzani wa kweli ni Chadema? Jamani inamaana vyama vingine haviruhusiwi kuwa oposition lazma tu muwe ninyi? Mbona watemi sana? Ndio utemi huu ninaouona headn inashauri kwa waliochoka nao basi wajiunge na...
Hivi kumbeeeeeee! Kameshakua hakana thamani kwa kiwango hiki eeh! Lakini kaeni mkitambua kwamba kana nguvu kweli na jaribuni kukATIMUA MUONE MZIKI WAKE....Kama hajapasua hicho chama chenu cha Ukanda uleeee wa akina Nassary.
Kwa Madhumuni kama haya ni mwanzo mzuri katika safari hii ya kisiasa. Utekelezaji ndio msingi wa yote mliyokusudia kuyafanya, hasa hapo kwenye BLUE (namba 3) ndio kinachoisumbua CCM leo hii. Wizi wa mali za umma na Ufisadi kwa ujumla wake.
Hakika malengo ni mazuri tunasubiri utekelezaji kwa...
Hiki chama si ndio kwanza kinashughulika na usajili wa kudumu? Sasa hiyo ndoa ya lini tena? Mbona mnaatack hata visivyostahili. Shutuma tuuuuuu bila mpangilio. Wabongo bana aaagh!
Binafsi sioni tatizo kwa Kafulila na Hamad Rashid kuwa katika chama hicho. Wao ni wanasiasa na kila mmoja kafukuzwa kwenye chama chake japo bado ni wabunge kwa nguvu za mahakama. Sasa kuna ubaya gani wao kuingia ADC ilhali bado wananguvu na dhamira ya dhati ya kutetea maslahi ya Tanzania.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.