tumuombee asirudie tena ktk madawa kwani ni hatari pia tumpongeze mh rais kwa kumsaidia ray c ushauri ajiepushe na wote wabaya waliompelekea yy kuwa hvyo pia ni muda ambao sas atakuwa amejua nani aliye rafki mzuri kwak na mnafki kwake
hapana haipaswi kufurahia kwa kuwa kila binadamu ana haki ya kuishi ni jambo la kuckitisha tumuombee apumzike kwa amani ingawa juzi yy alimtetea police wake wakat akikaribia kutoa uhai wa mtu yy alidhani ni wengine tu ndyo wanahaki kuondolewa uhai wao waishi milele lakin pamoja na hayo tumuombee...
huo ni ukorofi ingekuwaje kamanda wa uhamiaji na yy angekuwa na silaha then akapamban naye akcema ni amehc ni majambazi kwakuwa hapo wote ni dola police muache hzo wote ccp moja
c mchezo hyo mwaka 90 la tatu ndani ya changombe pr wakina mwl mbaga,mwl mussa,c mchezo kitambo sana hyo enzi hzo class wakina adolph atanasi,fredy tarimo sosthenes nstanslaus,chacha mofa,mbobo,haaa...haaaa na wengine wengi
kila habari inayohucu magamba ni ya kishabiki tuwe waelewa huo ni uhuru wa vyombo vya habari la mcingi ni kuichambua habari yenyewe badala ya kuikanusha
hyo safi sana imetulia hayo ndiyo maendeleo muda wowote mtu unabofya unavuta mpunga cyo kumcubiri mbiku aje akupe hela dirishan.vp taratibu za kupata master card?
hyo ngumu sana bado mazee jipange kivingine pengine tutatoka zpo njia nyingi tu zakupinga hii mambo lakin c lazima watu wajivishe mabomu na kutenda uyawazayo ma friend sangana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.