Habari wana jamvi , imekua ndoto yangu ya muda mrefu kutaka kusogea mbele kidogo na kubadilisha upepo wa bongo kutokana na factors nyingi tu ikiwemo ugumu wa maisha pamoja na uvunjifu wa demokrasia nk.
Nashukuru Mungu nimeweza kupiga hatua moja na kutua nchi mojawapo Asia kimasomo ila sitamani...
Unapohitaji kitanda imara cha chuma basi tucheki autoguru workshop. Sisi ndio
Magwiji wenye proven records ya ufundi wa vitanda hapa Tanzania.
Tunakutengenezea vitanda imara vya chuma kwa ajili yako.Bei 300,000/= tu.
Tunatengeza kwa kutumia vyuma vipana na imara. Wahi ofa kabla haijaisha...
Wadau naomba kufahamishwa na m2 yeyote kama ana taarifa yoyote kuhusiana na kazi ya muda inayohusiana na shahada ya jinsia na maendeleo (Bachelor Degree In Gender and Developnment) naomba anijulishe hasa kwa nafasi zinazopatikana Dar-es-salaam Ahsanteni!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.