BONDIA - 5
Simulizi : Bondia
Sehemu Ya Tano (5)
***
Kapten Deusdelity Macha aliteremka kutoka kwenye gari la jeshi na kutembea kiaskari kuuelekea mlango wa nyumba yake. Upande wa pili wa barabara, Roman alijiinua kutoka kwenye benchi alililokuwa amekalia lililokuwa mbele ya kibanda cha...
Simulizi : Bondia
Sehemu Ya Tatu (3)
Baada ya lile pambano lake na mzungu kutoka Hungary, Macha alipambana na bondia kutoka Afrika ya Kusini mjini Johannesburg, ambako alimtawanya taya msauzi huyo na kuondoka mshindi. Sifa za bondia “Deus-deadly” Macha sasa zilikuwa zimeenea duniani kote, na...
Simulizi : Bondia
Sehemu Ya Tatu (3)
Baada ya lile pambano lake na mzungu kutoka Hungary, Macha alipambana na bondia kutoka Afrika ya Kusini mjini Johannesburg, ambako alimtawanya taya msauzi huyo na kuondoka mshindi. Sifa za bondia “Deus-deadly” Macha sasa zilikuwa zimeenea duniani kote, na...
TAHADHARI
Tunapoelekea mwaka mpya 2020 Tunaombwa kuwa makini tusije kosea kuandika 20 ya Mwisho ukaweka Mwanzoni na 20 ya mwanzo ukaweka mwisho.
Mfano: Mtu badala ya kuandika 2020 akaandika 2020.
Sent using Jamii Forums mobile app
Simulizi : Kitanzi Cha Mwisho
Sehemu Ya Tano (5)
GODFREY KYOMUKAMA, lilikuwa ni jina lililotangulia pale katika ule ujumbe kisha ikafuatia anuani yenye namba tano 16841- 5576 ikamalizia na jina la KAMPALA, Kamanda Amata akaelewa ujanja wa marehemu Kajiba, kwa kuwa alijua kuwa atakufa hivyo...
IMEANDIKWA NA : HUSSEIN ISSA TUWA
*********************************************************************************
Simulizi : Bondia
Sehemu Ya Kwanza (1)
Lango kuu la gereza la Ukonga jijini Dar es Salaam lilifunguliwa na mtu mmoja mrefu alitoka nje ya lango lile kwa hatua za kujiamini na...
Simulizi : Kitanzi Cha Mwisho
Sehemu Ya Nne (4)
Kwa kutumia ngazi za nje, Kamanda Amata alimshika mkono Yaumi na kuteremka nae kwa haraka. Alipofika mwishoni tu, ilikuwa ni kitendo bila kuchelewa, Land Cruiser Prado ilikuwa imesimama mbele yake, vyoo vyeusi, kwenye usukani kulikuwa na...
Simulizi : Kizuizi
Sehemu Ya Nne (4)
“Nitayalia pesa haya mabwege mpaka yakome” alisema kwa sauti ya chini huku akigida soda kidogo iliyosalia katika chupa.
Mtihani wake wa kutaka kugundua iwapo kweli yule ni James ama la ukawa umefanikiwa.
Akajiona mtu mwenye bahati kupita wote duniani...
Simulizi : Kitanzi Cha Mwisho
Sehemu Ya Tatu (3)
Ni pale walipofika eneo la Vingunguti na kukuta lundo la watu, magari yalikuwa foleni, kamanda Amata akashindwa kujua kunani eneo hilo, kati ya vijana waliokuwa wakipitapita mmoja aliitwa na Kamanda Amata akasogea dirishani, “Vipi dogo kuna nini...
Simulizi : Kitanzi Cha Mwisho
Sehemu Ya Pili (2)
BUGURUNI kwa Mwinyi Amani, au kwa mnyamani kama walivyozoea kupaita wakaazi wengi wa Dar es salaam, barabara zake zilijaa tope hasa ile ya kutokea Kiembe Mbuzi, watu walikuwa wakijaribu kuruka matope hapa na pale huku wenye magari nao wakipita...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.