Siku akielezea jinsi alivyofanyiwa upasuajia alishangaa kuona anashonwa na kifaa kama stapler. Kanaitwa AUTOSUTURE.
Hata mimi ninako, mwenye matatizo ya Tezi dume ani-pm. Bei nafuu kuliko kule John Hopkins.
Mukulu ni kama vile alikuwa ametoka CHAKO NI CHAKO, nilimuona akitoa nyama iliyonasa kwenye meno kwa ukucha wa kidole.
May take.
Wasaidizi wake muwe mnampa mukulu toothpick. TANZANIA NAIAMINIA!
Ikiwa ni siku moja tu tangu vigogo wa polisi walipobainika kuwa na madudu, Jana nilipokuwa nikisafiri toka Babati kuelekea Arusha, baada ya kufika eneo liitwalo Magugu, Gari nililikuwemo (MTEI EXPRESS) lifanyalo safari zake kati ya Babati na Arusha lilisimamishwa na Traffic Police, basi hilo...
Hodi wanaJF, tangu limetokea tukio baya la kutekwa na kupigwa vibaya Dr. Ulimboka, I found myself deep in love with JF Updates and JF Members contributions. Big up sana, together we stand. THANKS for accepting my Registration.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.