Mndengeleko, Sensa haizuii kazi na shughuli nyingine za kimaendeleo kuendelea. Ndio maana chaguzi ndni ya CCm zinaendelea katika kipindi hiki cha sensa. Acha unazi
Tusubiri tuone maigizo haya yatatupeleka wapi. Wameshusha bei ya nguzo na kuunganishiwa umeme wakasahau tatizo si kuunganishiwa tu, hata bei ya umeme wenyewe.
Hivi hawa watu wanafikiria Kuongeza Kodi kwa mtumiaji wa simu ili tuende sawa na kenya na Uganda? Mimi nafikiri tungeanza kwa kuboresha kwanza maisha ya mtanzania ili yaendane na maisha ya Wana afrika Mashariki wengine kwanza. Ili basi tulingane kwa kila kitu. Hivi hii jeuri ya kukaidi na kuhisi...
Kama ni kweli Joshua Mulundi alifanikiwa kuingia nchini na kisha yeye na wenzake wakafanikiwa kufanya unyama walio ufanya kwa Dr. Ulimboka wakitumia siraha za kivita basi jeshi letu la Polisi na Usalama wa taifa hawana wanachofanya. Kwangu mimi ni kama sanaa tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.