Search results

  1. K

    MGOMO: Madaktari 319 wafutiwa leseni

    Kama wanaruhusiwa waende huko! Walijifanya kufuata mkumbo kwa kuiga ... kwa tembo, sasa wamepasuka msamba, walipogoma walikuwa wengi sasa kila mmoja atalia kivyake maana hakuna tena "sisi' imegeuka "mie" kila mtu na barua yake ya kufutiwa. Mi naona ni sawa, ila ili haki itendeke, si intern tu...
  2. K

    A picture speaks a thousand than words...

    Hakyanani hiki ni kipaji si mchezo
  3. K

    Kingereza kianze kutumika bungeni ili tuondokane na wabunge wa ccm

    Acheni kuutukuza Uzungu na kuukataa Utaifa! Nani kasema wanaojua kingereza ndo wenye uwezo wa kutoa hoja? Kiingereza ni lugha km Kimasai, Kichagga, Makonde, Makua, wala hakina uhusiano na kutoa hoja zenye kujenga. Wacha wajunafasi na Kiswahili ila tu waongee hoja za maana na siyo kujali maslahi...
  4. K

    Karibu Kumchangia Dr Ulimboka Kupitia Tigo Pesa, M-Pesa

    Ukweli unauma, wakati umefika kwa watanzania kuchambua jambo kabla ya kufika kuamua na kutenda, swala siyo kuchanga, swala is to critically analyze the issue, break it into its simplest elements such that kila mtu anaelewa, ndipo achukue uamuzi. Kama umefanya matatizo ya Dr. Ulimboka mtaji...
  5. K

    Ukweli kuhusu wasomi

    Jamani, tusichanganyie kwenda shule na kuelimika. Si wote walioenda shule wameelimika na siyo si wote wasiokwenda shule hawajaelimika. Kinachomfaya mtu aendelee ni kubadilika kwa fikra na mitazamo yake katika kutambua fursa za kujiletea maendeleo. Mfumo wa elimu yetu unamjenga mtu zaidi katika...
  6. K

    Karibu Kumchangia Dr Ulimboka Kupitia Tigo Pesa, M-Pesa

    Jamani kutoa ni moyo, ila hekima na busara vinatumika kabla ya kuamua kutoa ama kutotoa. Ni kweli Dr. Ulimboka anahitaji msaada, sasa: 1. How can we justify that kweli anahitaji msaada wa pesa tu na wala si dua, sala na maombi, faraja nk? 2. Kuna uhakika gani kuwa number na account zilizotolewa...
  7. K

    Mhe.. Pinda ameonya mfumuko wa bei za vyakula msimu huu wa ramadhani...!

    Naona hajaonya, ila ametoa mapendekezo kama mtanzania mwenye haki ya kusilizwa. Kama ni onyo, lingeambatana na hatua zitakazochuliwa kwa wafanyabiashara kuupuza ama kukaidi, na lingeandikwa kwenye national gazette na kupewa hati ya kisheria. Ni bora kuelewa kuwa serikali iliporuhusu soko...
  8. K

    Mshahara wa TShs 900,000 hautoshi kabisa

    Saaaafiiii! Hakuna aliyewalazimisha kusoma michepuo ya PBC, CBG, PCM na mingineyo, hayo yalikuwa ni mapenzi yao. Ina maana yawakujua kuwa kazi ya udaktari is risky? Huu ni utani, by virtue of profession, udaktari is risky, udereva, risky, ulinzi risky kufa anytime, polisi, jeshi, kulima ndo...
  9. K

    Madaktari bingwa Muhimbili Watangaza mgomo rasmi

    Naona madaktari wameamua kuonesha kuwa ni muhimu. Nawashauri wasiendelee kugoma, bali wote wajiuzuru na kuarudisha ofisi LIWALO NA LIWE! Kama ni kufa watu weshakufa, na bado tutaendelea kuteseka na kufa, lakini watakaosalia hawatafanya utani na maisha ya watu. Hakuna cha kuendelea kuogopa wala...
  10. K

    Madaktari wafukuzwa Mbeya, Bugando na Dodoma... Mwananyamala walazimishwa kusaini...

    Ni sawa kufukuzwa. Na wengine wanaukaidi wafukuzwe wote! Watu mara nyiingi hofu husababisha kuendelea kuwa watumwa na maskini wa mawazo kwa kuogopa kuchukua hatua hata kama itatugharimu na pengine maisha. Najua kweli athari za kufukuzwa hazitawahusu 'wakubwa' moja kwa moja, lakini, hata hao wana...
  11. K

    Mbunge: Heri tufe kuliko Muungano kuvunjika

    Kauli kama hii inatia shaka juu ya uwezo wa wawakilishi wetu bungeni. Nani kamtuma kusema "heri kufa.." Katika kipindi hiki ambacho nchi zilizoendelea zinaungana, Euro, Falme za Kiarabu, USA, na sasa EAC kuelekea kwenye Political Federation ili kuwa na nguvu ya maamuzi kiuchumi, kisiasa...
  12. K

    Mkasa wa Dr. Ulimboka: Inawezekana Kabisa Sio "Inside Job"!, bali ni "Smear Campaign?!.

    Sidhani kama kuna mkono wa mtu ama chama ama serikali katika sakata la Dr. Ulimboka. Kilichompata nadhani ni hatua ya wananchi kuonesha uchungu wanaoupata kwa 'kumgawia maumivu' kiongozi anayeogoza watu waliopewa dhamana ya kuangalia afya na uhai wa watu kwa niaba ya aliyewaumba na serikali. Na...
  13. K

    Madaktari wafukuzwa Mbeya, Bugando na Dodoma... Mwananyamala walazimishwa kusaini...

    Kufukuzwa madaktari siyo dawa, ila ni funzo. Hakuna haja ya wao kuendelea kuitwa watumishi wa umma wakati hawautumikii umma. 'Fukuza woooteee, kuanza upya si ujinga' Mjomba aliimba. Sifurahii kupigwa Dr. Ulimboka, ila ni funzo kwao na njia ya wananchi kuonesha uchungu wanaoupata kwa mgomo wao...
Back
Top Bottom