Search results

  1. I

    Mambo ambayo hayafai katika Katiba ya Nchi

    Mtoa mada umekosa kujielewa. Hutakiwi kupinga maoni ya watu, kama wewe ni mjanja toa maoni yako. Ala! Huu wako wewe sasa ufala eti.
  2. I

    KATIBA MPYA: hivi ndivyo wasemavyo watanzania

    Huu muungano wetu kweli ni wa kishenzi. Kama Watanganyika bado wana haja ya kuungana watafute wapuuzi wenzao waungane nao, sisi wazanzibari basi. Tunataka mamlaka kamili sasa.
  3. I

    Daudi Kanyau ajenga msikiti na nyumba ya watoto yatima Kibaha

    Nakufagilia Daudi, ukipata uwezo jenga msikiti mwengine. Shule waachie serikali watajenga wenyewe.
  4. I

    Ukaaji huu msikitini Lipumba kurudi madrasati

    Mii siwafahamu mnamaanisha nini kutoa picha kama hizi au ndo mnatafuta uchokozi?!
  5. I

    Dar es Salaam City in Photos

    Wakusdia nini?
  6. I

    Mjadala wa Mafuta na Suala la Muungano

    Acheni kujadilimafuta, kwaza utazaeni huo muungano wenyewe utaweza kuishi?
  7. I

    Maoni ya Katiba: Wazanzibari, Urais uwe kwa Zamu

    Ndugu yangu stroke nadhani hujielewi na labda niseme umeishia darasa la saba na ndo maana ukawa na fikkra za kimwehu zilizopitwa na wakati. Sisi wazanzibari tumesoma kabla yenu na tumestaarabika mapema tu. Na usijisumbue, tambua wazanzibari watauvunja tu muungano
  8. I

    Maoni ya Katiba: Wazanzibari, Urais uwe kwa Zamu

    Kwanza mtambue serikali ya zanzibar ni ya wazanzibari tu, na serikali ya tanzania si yenu peke yenu. Kama mnataka ya kwenu undeni ya tanganyika
  9. I

    Wazanzibar wanataka Muungano tulionao uendelee

    We kimox na wenzako msiichukulie zanzibar kama kijiji tu,ngoja maoni yakusanywe ktk mikoa yote ya zanzibar na sio kuchukua maoni ya shehia tatu tu. We vipi! Hebu kuwa mkomavu kisiasa. Acha kukurupuka dogo. Kumbe hata hujui nini muungano wa mkataba!
  10. I

    KATIBA MPYA: hivi ndivyo wasemavyo watanzania

    Maoni yangu uwepo muungano wa mkataba. Kama nyinyi mnataka wa serikali tatu basi haya yafuatayo yahamishwe kutoka bara yapelekwezanzibar: raisi wa taganyika achaguliwe zanzibar, makao makuu ya ccm yawepo zanzibar, bunge zanzibar,benki kuu zanzibar,wizara zote zanzibar, raisi na waziri mkuu...
  11. I

    Je Ungependelea Muundo Gani wa Muungano au Hautaki, Piga Hapa

    Nataka muungano wa mkataba, huuwa nyerere na karume ni muungano wa mataahira
  12. I

    Maoni ya katiba kupitia mtandao wa Internet - nafasi nzuri sana tusiache wandugu

    Kwanza zanzibar yetu, tukigawana wapemba na waunguja nanyi mtagawana CCM na CHADEMA
  13. I

    Chakechake Moja hiyoooooo

    Ndio tukasema muungano hatuutaki. Manake hapo ndipo ulipotufikisha
  14. I

    Urembo: Huyu naye mtasemaje?

    Aka! Kama kwenu ni mbaya nipeni hiyo no yake ya simu
  15. I

    Toa maoni yako , huu ni unyanyasaji au urembo... Kazi kwenu

    Huyo mtoto kapendeza, mmwa!
  16. I

    VIDEO Mpya ya Maiti Ya Gaddafi Ilivyochezewa

    Nyinyi walibya hamkumuua gaddafi mmejiua wenyewe . Poleni sana ndugu zangu mtakufa njaa sasa kama wasomali.
  17. I

    Je Ungependelea Muundo Gani wa Muungano au Hautaki, Piga Hapa

    Muungano huu ni upuuzi, hauna faida yoyote kwa wazanzibari wala watanganyika ila kuongeza chuki tu katikajamii. Lau kwamba si muungano makanisa yasengechomwa moto zanzibar, na tanganyika na zanzibar zote zengekuwa dola huru. Wenzetu wakenya hawakuungana na yeyote lakini uchumi wao ni mkubwa...
  18. I

    Maoni - Katiba Mpya

    Zanzibar huru kwanza, katiba ya muungano baadae
  19. I

    Maoni ya katiba kupitia mtandao wa Internet - nafasi nzuri sana tusiache wandugu

    Nadhani kutoa maoni kupitia internet ni kupotezeana muda. Si wazanzibari wanasema wazi wazi wanataka kura ya maoni juu ya mustakbali wa muungano. Mbona mnawapiga mabomu basi?
Back
Top Bottom