Ni askari gani atakuua bila kosa? Hivi askari wangapi wanauawa kwa flag ya ‘wako kazini?’ Na hakuna mbunge anayetetea.
Msiangalie upande mmoja, hao watu ni wahalifu hata wewe kama ulidhurka upo umo umo tu.
Heshimu sheria bila shuruti hakuna atakayekubaka, kuua etc. Btw kama wamebakwa si...
Watu waache kuchokoza askari wa watu, bila hao askari kuwepo hizo mbuga zingeisha. Hakuna askari mwenye akili timamu adhuru mtu ambaye si muhalifu. Siasa hizi zitamaliza profession
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.