Nimejaribu kufuatilia kwa Karibu kwenye Post zinazohusu masuala ya Mgogogro wa Tanzania na Malawi kuhusiana na Ziwa Nyasa na nimegundua kuwa tangu mzozo huu umeanza kuna watu wengi sana wameanza kuja hapa JF na kujoin kama new Members hasa kuanzia Mwezi August.
Ukifatilia comments zao utakuja...
Sie bwana, tunapendaga sifa tu kama kawaida Tanzanite, Kilimanjaro, Serengeti, na mengine mengi, yameleta faida gani sasa? Kuna watu wachache wajanja wajanja hapo wanasubiri kupiga hela. Mbaya haya yote tunayajua but HATUA sasa mhhh...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.