acha upumbavu we gamba, kwani msanii ni kioo cha jamii na kazi yake kuelimisha, kuburudisha na kusimumua, yaan m2 akitoa elimu kwa jamii bac ni mfuwac wa cdm. Achen unyanyasaji wa kipumbavu
Alilosema Pianda jana 'liwalo na liwe' ilikuwa siyo kejeli.? Au mnaona vya wengine tu..na bado hadi 2015 yatafanyika mengi. Jasho la mlpa kodi hilo mtalioga mwaka huu..
Mi naona wabunge wa viti maalumu hawana cha ziada zaidi ya majungu, najua huyo mama yupo kwenye kazi yakutaka kukipaka matope chama cha CDM kwasababu ni chama chenye nguvu na ushawishi mkubwa. Inamaana chama kilicho madarakani ni CDM.!au rais na waziri mkuu ni wachaga au niwa chama cha cdm...
Hao jamaa wanatunyanyasa kwa kweli, trilion 3 na bilion 700 wapi kwa wapi..!kama MUNGU angejaribu kuwaonjesha maisha anayoishi mtu maskini wala wacngejipangia kiasi chote cha pesa..! Ila watanzania wenzangu tujitume wao waache wale kupitia jasho la mnyonge..! Kila lenye mwanzo lina mwisho.
Mimi nadhani viongoz wa CCM na wafuasi wake wote ni dhaifu, kwa sababu huwez ukatetea ujinga na upumbavu unaofanywa na watawala wa nchi. Raisi ni dhaif tena dhaif kabisa asiyejitambua..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.