Aisee ndugu zangu,always mapenz yana run dunia,sisi Wavulana tunavumilia sana shida than girls.
{kuhusu kusoma ucjali,mi nasoma but siwez kufikia hatua ya kuweka post makaburini,hahahaiahahahahaha,you make me happy guys.
Jamani wenzangu naomba tusaidiane kitu kimoja,hivi ni kwa nini mabinti na wanawake wengi wamekua na makalio makubwa,na kwa nini iwe siku hizi na isiwe tangu kipindi cha nyuma?
Naomba tusaidiane jamani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.