mm pia niliomba na huwa nafuatilia kwa ukaribu sana ajira na interview za utumishi bado hawajaita mkuu usiwe na shaka endelea kuvuta subira na kufuatilia kwa umakini sana,,
asante mkuu hii mada ni nzuri sana namkumbuka dada yangu aliyefikisha hadi 40 hajaolewa mwisho wa siku akaangukia kwenye kaa la moto ili tu na yeye aonekane ameolewa daah,,,
asante mkuu hii mada ni nzuri sana namkumbuka dada yangu aliyefikisha hadi 40 hajaolewa mwisho wa siku akaangukia kwenye kaa la moto ili tu na yeye aonekane ameolewa daah,,,
Nashukuru mdau kwa ushauri mzuri coz hilo pia ni jambo la msingi na pia ni tatizo kubwa kwa maendeleo ya nchi hii just imagine watu hawana uwezo wa kulima eneo hilo lakini pia hawataki wanaoweza kulima walime.Ila nashukuru kwa kunijulisha ilo mapema ili nisijeingia kichwa kichwa nikijua kila...
Wana JF nataka kujaribu Kilimo cha Mpunga cha umwagiliaji Dakawa Naomba kujua taarifa zaidi kuhusu kilimo hicho katika yafuatayo,
1.Matatizo yanayokumba kilimo hicho
2.Soko la mpunga kwa sasa likoje
3.Faida zake na ekari moja unaweza kuproduce gunia ngani.
wanajamii nahitaji msaada wenu ndio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.