unclee, hongera sana mungu akupe utumishi mwema wa umma, mimi mwenyewe nimechaguliwa kwenda kufanya oral interview tarehe 1/4/2015 hivyo tuombeane ipo siku tutakutana
Kaka usiombe kukutana na pepa maswali manne tu dakika arobaini kama sekunde nne, ukizingatia ulimaliza chuo miaka 5 iliyopita. mungu namwomba anisaidie kuleta miujiza niitwe kwenye oral. kweli utumishi nawavulia:yo:
ile nchi ya iringa kwetu mjerumani alichemsha.sijui kama selikali inajua kuwa ule mkoa una watu marafiki sana ila ukiwatibua utajuta. mgai shida natamani ningekuwepo kutetea ndugu zangu wahehe. hao polisi walishawai kutaitiwa na raia nyororo kule baada ya kukamata vijana wanaosadikiwa kuwa ni...
Rakims.
kuna siku nilikuwa nasoma kitabu usiku nikachoka nikaamua kuzima taa na kulala baada ya dakika tatu nikasikia mtu anatembea kukaribia dirisha langu mara akasimama nikaanza kusikia anafungua kurasa za kile kitabu mimi nimelala sijui kama ilikuwa usingizi au la.
uoga ukanishika sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.