BARUA YA WAZI KWA SIR GOD
eeeeeh mungu nihurumie mwanafunzi wako wa kidato cha 6,
mwanzo walianza kuturefushia mdaa wakasema tumalize mwezi wa 5 tukakubali,
PILI wakaja tena eee mungu wakasema tukimaliza twende jeshi tukakubali
TATU mwenyezi mungu wakaja na...
1.Kuleni nyasi, ndege ya
Rais lazima inunuliwe
(MRAMBA)
2.Foleni Dar ni ishara ya Maisha bora
(J.K)
3.Acheni wivu wa kike
(MSEKWA)
4.Asiyeweza kulipa nauli
apige mbizi (MAGUFULI)
5.Baada ya kutumia
Helikopta ya Jeshi Kwenda
nayo Urambo "Mlitaka
nipande punda?"...
Napenda kuwashukuru nyote
mtakao nipa majibu haya coz
jambo hili linanichanganya sana.
Nampenzi wangu ambaye natarajia kama mungu akinipa uhai
awe mke wangu, but kwa hili linanipa shaka sana, katika kukaa naye kwenye mapenzi yetu kwa bahati mbaya alipata mimba,
tukashauriana kuwa kwa7bu...
Hatimae madenge anarud nyumban baada ya kumalza mthan ;
BABA: mwanangu kweli utafaulu?
MADENGE; ntafaulu baba ntapata mia ya mia.
BABA; Kwnn?
MADENGE; wakati naenda shule nlkuta bango lmeandkwa yesu ni jibu, hvyo majbu yote nkajaza YESU!.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.