Ni kwasabab ushamzoea,ushayajua mapungufu yake,ushajua wap mnatofautiana na upi udhaifu wake na unajua kila siku yupo tu na atakua wako..lakini tunasahau kua love is knowing some1 is not perfect but treating him/her as if he/she is.Na hiyo ni kwa faida ya mahusiano yenu especially women our...
asante kwa thred nzur ila subira is not my strength,kama gred ningejipa C si mbaya ila si nzuri pia..kutokana na hili somo basi itabid niongeze subira.
hiv mnaishi dunia ya peke yenu mnaotafuta wachumba mtandoni?kama na wewe una vigezo mpaka ukaamua kumuwekea vigezo umtakae mbona ata apo ulipo wapo,wengine mnatafuta matatizo kama si hivyo ni ww ndo utakua tatizo.
tabia ya mtu haiendani na yy ni kabila gan kwanza siku hizi wengi wa watanzania viruka njia wangekua cheap wangekua wife material au unahisi kuna mtu anataka kuoa matatizo?mi naisi imetokea coincidence kua 75% ya hao alosikia wanaoa wa huko but ata wengine wanaolewa.
ni kweli ktk maharage hayo vipo viini visipothibitiwa hudhuru mwili wa mlaji hujulikana km anti nutritional factors mojawapo na maarufu ni ile iitwayo 'typsin inhubitors' ambayo vinapotumiwa huzuia protein isitumike mwilin mwa mlaji,salama ni kuhakikisha hizo anti nutritional factors...
eh ina maana kakukataa nae?uckubal kushndwa jitahd ukpata mdada ukmpenda jitahd kujenga urafk ht ujue anapenda nn na nn hapend..jitahd kumuonyesha unampenda kwa vtendo zaid kulko maneno..
Mungu asingetoa fursa hiyo cz wanaume wangejisifu wenyewe kwa uumbaj na c Mungu ila nafkiri una tatzo mayb umeumizwa o umetafta sana mpenz umtakae bila mafanikio ebu appreciate uumbaj wa Mungu amin yupo m2 aliyeumbwa kwa ajil yk..
Ndo mapenz mwanaume akiwa serious mdada walaa,mdada akiwa serious mwanaume anazngua..inatokea unakuta m2 unapendwa na una2mia chance iyo vbaya mi naamin una mapenz ya dhat mshirkishe Mungu wk akupe atakae deserve love yk na stick to tht dnt settle 4 less!.amin utapata sm1 mpaka utashangaa y it...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.