Piiiiiiiiipoooooooooooooz,,,wengi nao wanasema POWER...
Hiyo 2015 naona inachelewa vile tena natamani saa 10 alfajiri niwe ktk kituo cha kupigia kura siku hiyo.
Pole,kwa ufahamu wangu kila mtu na aina ya ngozi yake na iko na mzio kwa vitu gani.Wengine hata hiyo topaz watoa mapele.Kwa upande wa athari ndo nangoja nipate lolote toka kwa wanaofahamu.
Dah mnajua wana jf mna nichanganya,sasa kama ndo iko hivi huyu mjamaa anapata wapi ujasiri wa kupuliza vuvuzela hovyo tena mbele ya wakubwa na bila kujali kelele zinazotolewa na hilo livuvuzela.Aluuu mi naenda nje kwanza nipunge upepo.Labda kashindwa bei au gharama ya kununua kadi,kwanni nyinyi...
Huyo demu wake akifa we utakuwepo kumsindikiza segerea?kama ndio fanyeni mpango mkutane na uwasindikize kwenda kuua,ili ikitokea kinyume msindikizane pia.
Ndugu huyo shetani aliyekushika hebu mkemee,mwenzio nilihangaika ndani ya ndoa karibu miaka mitano bila mimba wala kichefuchefu,baada ya kutembea huku na kule na maombi Mungu akanisikia,nilijifungua HIVI KARIBUNI 2012 baby boy lakini alifariki muda mfupi kabla ya kuzaliwa.Nikarudi kukosa...
Haya mapigano yanayoendelea nchini ni hatari kwa vizazi vijavyo,viongozi husika hawaoni wafugaji na wakulima huko pwani walivyo na mvurugano?wafugaji wamekuwa wakimbizi nchini mwao na hivi sasa wanaishi kwa kuwindwa,hivi kweli wafugaji wote wakigoma kuuza mifugo yao mtaagiza toka nje ya nchi?
Haahaa haha,ndugu yangu endelea kusubiri kushindwa kwa CDM,utashindwa ww na dhoruba zako,usiwatukane wamachinga,hayo mashule yasiyo na walimu wala vifaa,,,au watasubiri ndugu yao first lady akawafundishe? hata ukisema kuna barabara watafundishwa nazo?kutibiwa je.:A S 12:
Usiwe na mawazo mgando yasiyosoma alama za nyakati,hao vijana unaowazungumzia unadhani hawajachoshwa na maovu ya nyinyi M? hawaoni mama zao,wake zao watoto,wazee wanavyoteseka na sera za maisha bora kwa kila mtanzania?na vijana hao hao wananyanyasika kwa kukosa ajira na kuteseka katika viwanda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.