KIONGOZI Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, ameeleza kushangazwa na hatua ya Serikali kuwapatia kazi ya ujenzi wa Bandari ya Mwambani mkoani Tanga watuhumiwa wa sakata la Akaunti ya Tegeta Escrow.
Amesema watuhumiwa hao wamepewa kazi hiyo kupitia Mradi wa Mwambani Economic...
Ubabaishaji unaondoa ladha ya masumbwi
Abdul Mkeyenge
RAIAMWEMA Toleo la 399
3 Apr 2015
UBABAISHAJI wa vyama vya michezo nchini upo kila mahali. Vyama vingi vya michezo vimekuwa vikilalamikiwa kuwa chanzo cha kudorora kwa michezo. Hali hiyo imewafanya Watanzania kuwa...
Francis Cheka will be back into the PTA Hall boxing ring in Dar es Salaam on April 5 to face Russian Valery Brudov if the recent agreement between Mawenzi Focus International Limited and suspended promoter Jay Msangi will be effective.
The named firm has taken over from suspended Jay Juma...
Nashauri upangaji wa nyumba za NHC uwe na term limit. Kila familia iruhusiwe kuishi nyumba za National Housing kwa kipindi cha miaka 7 tu baada ya hapo walazimishwe kuondoka ili kupisha wengine. hizi nyumba ni nzuri, ziko maeneo mazuri na ni za bei nafuu kila mtu anaetaka anastahili kupata...
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Dr. Asha-Rose Migiro kuwa Mbunge.
Taarifa iliyotolewa Ikulu, Dar es Salaam leo, Jumanne, Desemba 3, 2013, na Kaimu Katibu Mkuu Kiongozi, Dr. Florens Turuka inasema kuwa uteuzi huo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.