Hizo kampuni hazipo kweny credit bureau sio Kenya Wala Nigeria, wapo Kwa lengo la upigaji kutumia ujinga wetu.
Nasisi tunaish nao tu Hela za Bure hizo hawana Kaz nazo.
Kama kweny circle yangu ataona nimedharirika basi sio aina ya circle yangu akatafute circle yake
Ila sisi watz sio wakukopesha bila dhamana, Mimi nadaiwa na karibu makampuni yote ya online yaliyojaribu kunikopesha.
Mbaya zaidi Hela ninabetia na ninapigwa.
Kama sio kubeti nisingefanya huu ujinga wa kuwakopa
Hahaha mm pesa m, mkopo fasta na sunny loan inasoma kama 800k hahaha.
Watume tu nani anaogopa kudhalilika.
Nina contacts kama 700 hivi kwenye simu ila kupata hata msaada wa 20k ni msala
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.