nashukuruni ndugu zangu kwa kunitia moyo kwa hilo na hata kwa walionicrush pia thanks sana tu mbarikiwe ngoja nijaribu na nikifanikiwa sawa nisipofanikiwa pia sawa cha muhimu kujaribu tu
sawa kaka zangu nimwewaelewa wakubwa kwa wadogo siku zote tunajifunza kutokana na yale tulioenda vibaya sawa nimesikia ni makosa tu kidogo ambayo yanaweza kurekebishwa nimewaelewa
nashukuruni xana kwa wale mlionisaidia kunifafanulia atleast nina mwangaza wa kutambua any way asanteni mungu awabarki kwa msaada wenu n pia muongezewe kwa mlichonacho naimani ntapata na wale mnaojua kutoa negative comment cio km nawa crush ila maisha ha2end hvyo cdhani km ndo life la xaxa km...
eeeeeeeeehhhhhh jaman kaka zangu me nakuja xana 2 huko kwny msuli cnc adv nlikuwa na dream ya hiko chuo unajua bhna unaposoma chuo unachokipenda na course unayoipenda tz grt coz unasoma kutoka moyoni na pia unasoma ukiwa na amani cheeeeerrrrrrrrrrr 2 u ol jaman nakaribia mnipokee kumbe nachama...
nashukuru kaka rich mana wa2 wngne kwan kuna k2 kisicoeleweka hapo jaman !mc choelewa nn km hautaki kunisaidia bac bhna ila mm naakili timamu ndo mana nimeandka na kuhtaji msaada xaxa ambacho kipya ni nn hapo have extra knwledge
xaxa mbna wanasema tna trh 1 oct heslb ni kwaajili ya nn jaman? na pia cc ndo 2naingia vyuoni na chuo kinafunguliwa 8 oct xaxa ntaenda 2 kwa loan officer wa chuo kivipi ebu dadafueni vzur
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.