kiukweli s tatu cdhan kama ni marks za kwenda chuo kikuu kwa koz yoyote sasa inapokuja suala la sayansi inaniongezea mashaka na wakati mwingine lazima mtu mwenyewe ujiangalie kama utaweza au la coz kuna kudisco kwa bahati mbaya na kuna kujipeleka shimoni wakati ungeweza kuamua kufanya kitu...
ninachoelewa mimi ili kuwa engineer hasa hizi za teknologia eg Computer, Telecom, software, na nying nyinginezo ni lazima uwe umesoma PHYSICS na MATHEMATICS vizur. but kama st. Joseph wamekuchukua sijui wanafanyaje... pengine ni kosa la TCU au wana program ambayo watafanya ili kuwabrush na...
unachohitaj ni kuhakikisha unajifunza vya kutosha, always kinachotolewa darasani hakitoshi na hicho mostly kinatumika kujibu mitihan kwahyo ni kuhakikisha unatoka ukiwa umejua kufanya vitu real au kama ni simulation software jitahd kujua kuztumia vizur na kufaulu vizuri pia.. ajira zipo ukiwa...
kiujumla UDOM College of informatics and Virtual Education usipokaa vizuri unaweza usimalize but asikutishe mtu kama ulikaza ukapata point za kukupeleka hapo utakaza na utatoka, utakutana na Prof Anatory... Prof Mvuma utacheza saana na signals.. convolutions.... u just get prepared kama...
Habar waheshimiwa,
napata shida wakati mwingine kuhusianisha mambo yanayotokea katika nchi yetu na wakati mwingine nahis maisha ya watanzania yanakuwa kama yanaendeshwa na watu wachache( yanakuwa programmed). Imekuwa kawaida sana kwa tanzania kunapotokea jambo ambalo linatikisa taifa na ni...
majibu mengine cyo lazima uambiwe coz kimya pia nijib, unadhan vibaraka wake hawapo huku au hawajampelekea????
ukweli ni ukweli tu unaweza utambua hata bila mtu kuongea!!!
pole sana but cwez kukulaumu sana au kukupinga coz mawazo yako ndipo yalipoishia n umeridhika hahaha... tym utakapofunguka hp utajshangaa kwa huo msimamo wako!!!!
samtymz watu wakishuhudia vitu ka hivyo wanapanic so anaweza kujichanganya pia! ctak kulazimisha kuwa huyo ni RPC coz mwenyewe cmfham but kama cyo yeye na akanushe coz naamin aliyemention anamfaham rpc kwa sura!!
teh teh teh!! Kutoka udom kuna hizi tena!!
MJAC/ MJASI- mama ntilie wanaouza chakula tofauti na cafteria
NYAVU - supplimentary
Mzigo- carry over
NG'OX- colleg ya education (ts kifup cha jina la kijj near colleg ya education- Ng'ong'ona)
wewe ndo unadandia gari kwa mbele! hizi kesi umezifuatilia mwenendo wake mpaka mwisho au umesikia hukumu tu na ukaja kuchangia???
hukumu ya lema ilivuja b4 na kama maamuzi yalitolewa na majaji mahakamani iliyovuja ilitoka wapi kama siyo huko juu kwa wanaojina wenye nchi? Igunga ulisikia hukumu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.