hiyo yote uloongea ni kweli ila em jaribu kufanya utafiti kwanza kwani hata adui anaweza kukupa kitu kizuri kwa lengo la kukukamata kwa urahisi na ndio wafanyavyo hao ma freemasons na kuwepo kwao kuna videos nyingi tumeziona zikionyesha project zaooooo!!!!!
biashara itategemea na mahali ulipo wewe kwani kuna sababu mbali mbali kama vile kufanya Market Survey ili upate jua ni kitu gani kipo ktk demend ya wana kijiji hicho kwa muda huo....asante.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.