ni daily mwanzoni sikuona ugumu wowote kwni aliniambia anategemewa so kuna mambo anaweka fresh,ila vikipitishwa viwalo 2,loh!hyo misimbazi itakayomtoka hapo huwezi amini,nimeshauri weee!hadi nimechoka,na mimi nataka nitoke wiki 2 hv nione kama kwake hatopika!
ni daily mwanzoni sikuona ugumu wowote kwni aliniambia anategemewa so kuna mambo anaweka fresh,ila vikipitishwa viwalo 2,loh!hyo misimbazi itakayomtoka hapo huwezi amini,nimeshauri weee!hadi nimechoka,na mimi nataka nitoke wiki 2 hv nione kama kwake hatopika!
Mkuu chukulia kwamba una rafiki yako mmeajiriwa wote yy mko jirani mshahara wake anatumia kwa mambo yake hachangii chochote daily anakuja kwako mnakula,mnakunywa kwake ni kulala 2,akikuta hujapika anakuuliza vp jirani leo hatuli?sijawah kumwmbia achangie uzalendo umenishnda wewe unaniona...
Mkuu chukulia kwamba una rafiki yako mmeajiriwa wote yy mko jirani mshahara wake anatumia kwa mambo yake hachangii chochote daily anakuja kwako mnakula,mnakunywa kwake ni kulala 2,akikuta hujapika anakuuliza vp jirani leo hatuli?sijawah kumwmbia achangie uzalendo umenishnda wewe unaniona...
Habari za ucku wakuu,kwa kweli nimeona nitoe kero mwenzenu,yan unakuta mdada au mkaka anafanyakazi ila yeye kwake hapiki,ikifika mida ya msosi anahamia kwa rafiki yake kwa madai kwmba yeye bado hana uwezo wa kujitegemea wkt tumeajiriwa kipindi kimoja,mwenzio nimejitahd wee nikabudget ndo...
hapana hamjamkosea Mungu ila kuna vitu kama mila na mambo ya kuabudu mizimu ambayo hupelekea mume kuvutwa na ndugu,na mwnaume wa kichaga akiokoka huwa hapendi kwenda kwao kwa kuogopa kufanya mila,na kuzaliwa mara ya pili ni kule kuokoka kwa kumaanisha kuziacha dhambi zituzingazo kwaupesi kama...
hapana hamjamkosea Mungu ila kuna vitu kama mila na mambo ya kuabudu mizimu ambayo hupelekea mume kuvutwa na ndugu,na mwnaume wa kichaga akiokoka huwa hapendi kwenda kwao kwa kuogopa kufanya mila,na kuzaliwa mara ya pili ni kule kuokoka kwa kumaanisha kuziacha dhambi zituzingazo kwaupesi kama...
hapana hamjamkosea Mungu ila kuna vitu kama mila na mambo ya kuabudu mizimu ambayo hupelekea mume kuvutwa na ndugu,na mwnaume wa kichaga akiokoka huwa hapendi kwenda kwao kwa kuogopa kufanya mila
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.