waungwana mmesikia lakini wanachofanyiwa RAIA huru Wa Tanzania? hivi unaweza compare uhai Wa MTU kwa meno ya tembo?,kilichokuwa kinafanyka kukomesha ujangili ni sahihi lakini njia zilizokuwa zinatumika hazikuwa sahihi hata kdgo.not every thing is politics guys
.
Niliumia sana wakati nasikiliza hii makala hasa pale walipokuwa wanachangia raia Burundi baada ya kuongea kwa uchungu sana na kutuonea huruma,nitamnukuu mmoja wao:"Tanzania 2liyokuwa 2naiona kisiwa cha amani sasa wameanza machafukio,ninawaonea huruma sana"!kwa kweli kwa ha2a 2liyofikia serikali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.