Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha! Haaaaaa! Haaaaaaa! Haaaaaa! Haaaaaaa! Nyie CCM ni Wahuni tu; Sasa ukabila na ukanda ukoje hapo? NCCR Mwenyekiti wake ni Mchaga, nguvu ya chama iko Kigoma, ni kwa Wachaga kule Kigoma? Ukabila uko wapi hapo. CHADEMA ina Wabunge Kilimanjaro, Arusha, Mbeya, Mwanza...
Acha majungu kijana! Wewe kila siku umbeya tu mkuu. Sasa nikishauri kitu kimoja. Hakikisha unajiandikisha kwenye daftari la kudumu la wapiga kura ili upate haki ya kupiga kura kwenye Uchaguzi mkuu hapo Tar.25 October, 2015!
Yap, ni kweli hata walio kwenye vyama wanasumbukia maisha yao na ni ajira kwao. Lakini siasa sio ajira inayoajiri watu wengi sana. Ni kikundi kidogo tu cha watu. Wananchi wengi ni wakulima na wafanyakazi, ambao wengi wao sio wanasiasa na ama hawana vyama! Kwa hiyo, weye piga kazi tu mkuu acha...
Achana na mazingaombwe weye kijana! Piga kazi za maendeleo kwa ajili ya nchi yako. Vyama vyote vitakuja, vitakua, na kisha kuondoka lakini nchi yako itaendelea kudumu milele na milele. Mambo ya UKAWA sijui CCM hata yasikusumbue kichwa. Wewe sumbukia maisha yako, watoto wako, ndugu zako, na nchi...
Teh teh teh teh teh teh teh teh teh teh teh teh teh teh teh teh! Teh teh teh teh teh teh teh! Kumbe thread yako umeileta tu kipropaganda? Ni gazeti gani hilo kwanza tulijue
Ni kweli kabisa hakuna mwenye uwezo wa kuongoza ndani ya CHADEMA. Wewe tu ndio una uwezo wa kuongoza nchi. Tutakupa wewe Urais. Jitokeze kugombea kwa tiketi ya CCM tutakupa Urais utuongoze wewe mkuu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.