Kwa kweli CDM munatuangusha,Mnachoamini ninyi ni kua maana ya haki ni CDM kushinda kesi zote za uchaguzi.Hao wanasheria wenu luluki mlio nao wanakazi gani.Msipojihadhari mtaporomoka sasa hivi kwa kuonenana wasumbufu.MNATUANGUSHA.
CDM msipojiangalia mtaporomoka sasa hivi.Mjifunze kushinda na kushindwa,Mnao wanasheria lukuki,toka lini tiba ya kutoridhishwa na hukumu ya mahakama ni maandamano.Sasa tutawaona ninyi ni wasumbufu.Mbona CCM hawakuandamana Singida.
Leo(14/4/2012) nimemsikia mkuu wa wilaya ya kibondo kwenye taarifa ya habari(STAR TV) akiwakemea wanakijiji wa kijiji kimoja wilayani humo kwa kitendo chao cha kugomea kutwaliwa kwa maeneo yao kupisha ujenzi wa bwawa la maji ,kwa hoja kuwa hawakushirikishwa. Kauli ya DC ni kuwa wanakijiji hao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.