Nacte mmefunga mfumo kwa ajili ya uchaguzi tangu tarehe 15-9-2016 ni nini hasa kinawazuia kutoa majibu ya application zetu kwa takriban wiki mbili sasa kama sio uzembe?? Majibu ya haraka yanatusaidua kujua mapema jinsi ya kufanya maandalizi ya kwenda vyuoni au kutafuta fursa mmbadala kwa wakati...
Kama Una vigezo na chuo kina nafasi chuo kinaweza kuwasiliana TCU KISHA KUPEWA FURSA YA KUKUINGIZA KWENYE MFUMO RASMI BAADA YA KUFANYA MALIPO YANAYOTAKIWA TCU NA VYETI VYAKO VIKISHA HAKIKIWA NA MFUMO NA KUONANA UNA KIGEZO STAHIKI UTAENDELEA. HIVYO FURSA IPO ILA CHUO HUSIKA ITABIDI KIFUATILIA...
NACTE Tunaomba baada ya selection ya tarehe 15/9/2016 mfungulie tena CAS ili kutoa fursa kubadili machaguo kama tutakuwa tumekosa machaguo tuliyofanya awali.
Bado baadhi ya vyuo via nafasi Tunaomba fursa nyingine hadi angalau tarehe 25 ya mwezi huu
kabla hazijaanza hizi zinazoitwa english medium ambazo ni private, Asilimia kubwa ya watu wanaopeleka watoto english medium walikuwa wanapeleka watoto wao uganda au kenya.Ila ajira imeongezeka nchini, pesa imebaki nchini na viwango vya elimu vimeonekana dhahiri kwa shule binafsj kuzipita shule...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.