Search results

  1. nyanzalapy

    Barua kwa rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete

    BARUA KWA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, JAKAYA MRISHO KIKWETE Rais Dk. Jakaya Mrisho Kikwete. KWA: MHE. RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, JAKAYA MRISHO KIKWETE Ndugu, YAH: UNYANYASAJI ULIOPITILIZA WA BODI YA MIKOPO KWA WANAFUNZI WASOMAO CHINA Tafadhali rejea mada iliyotajwa...
  2. nyanzalapy

    Ruge Mtahabwa, Umebug men!!!!!

    Kwa Mfanyabiashara Faida na Hasara ni vitu vya kawaida sana, sioni tatizo kama amepata faida au Hasara, Mfanyabiashara mkubwa kama yeye anatakiwa kupongezwa kwa kuthubutu, ndio inavyotakiwa hivyo, Hata hivyo kama Mwenyewe hajajitokeza na kutuomba tumchangie kutokana na hasara aliyoipata kwa nini...
  3. nyanzalapy

    Tunaitangaza Tanzania kwa nguvu zote - Jionee mwenyewe

    Sio kila Mtu anapofanya au kuonyesha alama hiyo inamaanisha hivyo, Kwa wenzetu hao hiyo inamaanisha Amani na sio mambo ya Siasa.
  4. nyanzalapy

    Full Text: Hotuba ya Rais ya mwisho wa mwezi Agosti 2012

    Nakuwa na wasiwasi na uelewa wako ndg yangu, Bora usingeweka hayo maneno unayodai kayasema kabla ya kusema Mungu Ibariki Tanzania kwani hayana Uhusiano kabisa na Kichwa cha Habari "TZ haina ubavu kwa Malawi" Labda uniambie Kichwa cha Habari kinapotosha Hotuba na Maneno aliyoyasema Mh Raisi. Au...
  5. nyanzalapy

    Tanzania na Misaada: Tujadili hili...

    Nionavyo mimi ni kweli tuna rasilimali kemkem zinazoweza kututoa hapa tulipo ila tatizo kubwa linaloikumba nchi yetu ni technology yetu, hatuwezi ku utilize hizi resources kwa kiwango kitakacho tusababisha kuepukana/kupunguza kiwango cha mikopo. Nionavyo ni kwamba ushauri kwa serikali izidishe...
  6. nyanzalapy

    JOHN MNYIKA: Msimamo wangu wa sasa juu ya Kauli yangu bungeni!

    Ninachozungumza ni kwamba Kiwango cha uhuru tulionao sasa huwezi fananisha ni ilivyokuwa miaka iliyopita hata siku moja.
  7. nyanzalapy

    JOHN MNYIKA: Msimamo wangu wa sasa juu ya Kauli yangu bungeni!

    Ni haki ya Msingi ambayo sio serikali zote Duniani huwapatia wananchi wake, tunashuhudia nchi nyingi sana ambazo hawana hii haki, so kama Serikali ikiamua kupractice udicteta ktk hili inawezekana pia, mfano hata hapo Tz 2005 kurudi nyuma hatukuweza kunyanyua midomoyetu kwa kiwango hiki cha sasa.
  8. nyanzalapy

    Kikwete amteua wakili wa Lulu kuwa Jaji

    As great thinker ongea kitu ulicho na uhakika usipende kusema .......sijui nini. Amepewa Tuzo na sio Shahada kama unavyolinganisha hapa. Kama hufahamu Educational Backgroung yake kwanini unaanza kum critisize mtu usiyejua? Fuatilia Hiyo tuzo hutolewa kwa mtu wa namna gani, imetolewa na nani...
  9. nyanzalapy

    JOHN MNYIKA: Msimamo wangu wa sasa juu ya Kauli yangu bungeni!

    All in all, nionavyo mimi 1-Heshima kwanza, simaanishi kama mkubwa amekosea asiambiwe la, ila kutokana na mila na destuli zetu kama watanzania hatuwezi kumwambia katika staili hii hata siku moja, kuna namna nyingi za kufikisha ujumbe na ukaonekana sio muoga vilevile. 2-Bunge linaendeshwa na...
  10. nyanzalapy

    Kikwete amteua wakili wa Lulu kuwa Jaji

    http://www.mwananchi.co.tz/habari/5-habari-za-siasa/24043-rais-amteua-wakili-wa-lulu-kuwa-jaji Yupi katika walioteuliwa unafikiri hana weredi? Nashauri tuwe tunafuatilia kwanza weredi wao ndio tuseme huyu hafai huyu anafaa. Hapo juu nimetoa link ambayo unaweza pata kwa kifupi weredi wa huyo...
  11. nyanzalapy

    JOHN MNYIKA: Msimamo wangu wa sasa juu ya Kauli yangu bungeni!

    Kuna kitu ambacho sikubaliani nawe kuchanganya kuoneana aibu,uoga na heshima, hivi ni vitu ni tofauti tena sana, heshima ni heshima na wala sio aibu au uoga hata siku moja. Nifahamuvyo ni wafuasi wa vyama vya siasa wanawaheshimu viongozi wao na si kuwaogopa au kuwaonea aibu, Vivo hivyo Kikwete...
  12. nyanzalapy

    JOHN MNYIKA: Msimamo wangu wa sasa juu ya Kauli yangu bungeni!

    Unajua ni lini hayo masharti yametolewa? unajua kwa nini hayakuwa implemented? Alikuwa na uwezo wa kukubali masharti na kuyatekeleza ndivyosivyo,mbona tunaona kuna nchi ambazo walipewa masharti hayo pia lakini bado hawapo huru kihivyo, Ustaarabu ni kitu cha bure, hauuzwi, na huwa tunasema...
  13. nyanzalapy

    Kikwete amteua wakili wa Lulu kuwa Jaji

    Unaonekana hata hujui idadi ya Majaji wanaotakiwa unaanza kuzungumzia habari ya limit, Tafuta kwanza habari kamili ili ujue kama wamezidi mahitaji ya nchi then anza kuzungumzia habari ya limit. kwa taarifa yako hata idadi ya haoaliowateua ukijumlisha na waliokuwepo hawatoshelezi mahitaji.
  14. nyanzalapy

    JOHN MNYIKA: Msimamo wangu wa sasa juu ya Kauli yangu bungeni!

    Mnasema mdhaifu kwa sababu ametoa uhuru wa kujieleza, wakati wa awamu zilizopita kabla yake yote haya yalikuwa yanatokea nani alikuwa anaweza kuthubutu kunyanyua mdomo wake kuyaongea? Waliojitoa mhanga kuongea tulikuwa tukishuhudia kashkash walizozipata na wengine kupotelea kusikojulikana...
  15. nyanzalapy

    Kikwete amteua wakili wa Lulu kuwa Jaji

    Kama hujui kigezo kilichotumika katika uteuzi si ukae kimya kuliko kujifanya much know, mnajishushia hadhi zenu bure pale unapotaka tukuone unajua jambo fulani wakati hujui, ni bora mkaanzisha kikundi cha mipasho ambayo sio lazima ujue sababu ya unaloliongea, Halafu unataka tukuone nawe ni great...
  16. nyanzalapy

    Imekaaje hii? Viongozi wa CUF watambulishwa msikitini!

    Acheni mambo ya Udini,Tujadili mambo ya kuiletea Nchi maendeleo na sio "Udini na Majungu"Ili kuiletea nchi yetu maendeleo kuna changa moto nyingi sana na wala hazihusiani na masuala ya dini, Au mnataka kusema na Mhe. Joshua Nassari nae anamaanisha CDM ni Ukristo?kwanini Shukrani wanaostahili ni...
  17. nyanzalapy

    Mh Rais Hakuvunja KATIBA yupo sahihi kwa katiba ya nchi yetu

    Mbunge kabla ya kapishwa ni Mbunge halali aliye chaguliwa au kuteuliwa kihalali,ila tu ili ashiriki shughuli za kibunge atatakiwa ale KIAPO CHA UAMINIFU. Kwani wapi katika katiba imetamka Mbunge mteule? Hii ni lugha tuliyoizoea kuisema lakini haikutamkwa kwenye katiba na hakuna mtu anayeitwa...
  18. nyanzalapy

    Kikwete awateua Prof. Sospeter Muhongo, Janet Mbene na James Mbatia kuwa wabunge

    Inabidi Tanzania kianzaishwe chuo cha kufundisha siasa tu na Upinzani ni nini, kuna watu wanajua Upinzani ni Uadui hata mtu wa chama cha upinzani akipeana mkono na mtu wa CCM ni kosa kwao na kuanza kumuita kibaraka, Ikishindikana chuo hata tuition tu inatosha kwani hali inakoelekea sio kuzuri...
  19. nyanzalapy

    Kikwete awateua Prof. Sospeter Muhongo, Janet Mbene na James Mbatia kuwa wabunge

    Hawa ndio watz, kwa kulalamika na fikiri ni Number one ulimwenguni, angemuacha pia ingesemwa kuna watu wazuri kama Prof Muhongo tunawaacha tu wanatumiwa na nchi nyingine, mh haya, Ulimwenguni huwezi kufanya uteuzi ukamridhisha kila mtu hata siku moja kwani kila mtu ana mtazamo wake tofauti.
  20. nyanzalapy

    Kikwete awateua Prof. Sospeter Muhongo, Janet Mbene na James Mbatia kuwa wabunge

    Siasa sio ugomvi kiasi hicho unachokifikiria, Wakati wa uchaguzi yanasemwa mengi sana lakini uchaguzi ukiisha mnachotakiwa ni kujali maslahi ya nchi/'Taifa na sio kuendeleza siasa ambazo hazina tija katika maendeleo ya taifa hata siku moja,kinachotakiwa ni kujali maslahi ya Nchi/Taifa na sio...
Back
Top Bottom