Search results

  1. M

    Makontena yaliyokamatwa jana na TRA yabainika yalilipiwa kodi

    nimeipenda hii,fikiria kwanini wasiyashushe Bagamoyo?,kwanini yasafirishwe usiku?,kwanini madereva hawakujua wanaenda wapi?,kwanini mzigo haukuambatana na nyaraka zake?,Je?document ambayo imekwepa kugongwa mhuri kama imeshatumika haiwezi kutumika kusafirishia mzigo mwingine?,nashauri huyo tajiri...
  2. M

    Mapendekezo ya wananchi: Muundo wa Baraza la Mawaziri kwa Serikali ya Awamu ya Tano

    Namuona Balozi Cameleus Bernard Membe,si mnajua?
  3. M

    Lugha Nyepesi ya Kilichotokea Zanzibar (ZEC) Leo Hii - 28/10/2015

    Watakuwepo Wabunge toka Zanziba ila Wawakilishi hawapo.
  4. M

    Mabasi 138 ya Mradi wa Mabasi yaendayo Kasi (DART) yamewasili Bandarini Dar es Salaam

    Tunapokea habari za furaha za kuanza kwa mabasi yaendayo kwa kasi Jijini Dar,habari zilizopo chini ya dakika kumi basi litakuwa limetinga kituoni na kuendelea na safari kwa barabara ya Morogoro na safari ni kuanzia Ferry hadi Kimara ,asante Mradi.Lakini najiuliza kutatokea nini junction hizi...
  5. M

    Wajameni umeme vipi tena?

    Sitanii hapa kwetu leo 18/09/2015 hakuna umeme tokea asubuhi,huku tuliamka tukiwa na matumaini tele kuwa ule umeme wa gas unaanza leo ,Mitambo itawashwa Ubungo,Kinyerezi na mnazi bay,grid ya taifa itanona,viwanda hadi vijijini,bei poa na tutanusu maji yetu ili tuyatumie kwa kilimo cha...
  6. M

    Hivi wajameni sheria au maadili ya ugombeaji nafasi ya siasa inaruhusu mtu asiye mwanachama au mgomb

    Mtu si mwanachama wa CHAMA na wala simgombea wa CHAMA anatoa wapi ujasiri wa kukisema CHAMA ambacho si mwanachama naili hali si hata mwanachama wa CHAMA kingine,angalau tuseme anakisemea hicho CHAMA kingine. Na je Fisadi ni lazima uwe msimamizi uliyekuwa na madaraka wakati wa richmondi tu?,Hawa...
  7. M

    Mji Wa Mpanda wazizima, Lowassa asimamisha shuguli za mji wote

    Kwa hiyo comment yako ndio unavyotarajia siyo?
  8. M

    Ipi busara kujenga reli itakayodumu miaka mia moja au kujenga barabara ya lami ya gredi ya chini

    Reli ya kati ilijengwa miaka ya 1920 na hadi leo ipo,na tungependa bado ina uwezo wa kusafirisha mizigo mingi kwenda hadi Kigoma na Mwanza,hivyo hivyo kwa reli ya Tanga hadi Arusha,hata hii ya TAZARA. Linganisha na barabara zilizojengwa kipindi cha Rais Mstaafu Mkapa na Hizi za awamu ya nne...
  9. M

    Hivi kwanini hatuwi na muendelezo wa mambo yetu? tunaachia njiani

    Nimekuwa nikifuatilia mambo mengi yanayotokea hapa kwetu, na nimegundua tuwarahisi kusahau mambo makubwa na yenye athari na maisha yetu na kurukia mamba mapya yanayoibuka, kwa mfano hakuna anayefuatilia uchimbaji wa almasi Mwadui,uharibifu wa mazingira,na ufukara wa wananchi wanaozunguka mgodi...
  10. M

    Wajameni hivi sawa wenye mabasi makuba ya abiria waendelee kuneemeka

    Wao ndio Waajiri na wanaweza kuweka masharti kwa Madereva waliowaajiri wao,wote si tunajua maisha ya utumishi? ili udumu kwenye utumishi ni lazima ufuate masharti ya Utumishi,Matajiri hawa wana uwezo wa kuwapangia madereva wao waendeshe vipi magari yao,wapakize abiria wangapi, wanywe saa ngapi...
  11. M

    Hivi si kweli kuna tofauti kati ya kiongozi na mtawala?

    Ni ukweli usiopingika kuwa Wafalme wote,Malkia wote, Marais wote, wawe wa kidemokrasia ,kididekta,au liberals wapende wasipende ni lazima wawe Watawala,wafanye shughuli zao kama watawala yaani wawe ni watu wa kutoa maelekezo,Maagizo,amri ,Makatazo huku wakiwa na washauri mbalimbali wenye...
  12. M

    Rais Kikwete: Nilikuta serikali inaingiza mapato bilioni 170, Sasa naingiza bilioni 900 kwa Mwezi

    Ni jambo la kushangaza mno kama Serikali yetu inao uwezo wa kukusanya shilingi Trilioni moja alafu haitumii, inazikusanya kwenye makasiki ili kujivunia kwa mwaka imekusanya magunia mangapi ya noti. Kwa kuwa taasisi yetu hii ni taasisi isiyo ya kusaka faida(non profit org) hakuna haja ya kuhesabu...
  13. M

    Kituo cha Mabasi Ubungo kutokuhamishwa

    kwa taarifa kituo cha mabasi cha Ubungo kinasimamiwa na Halmashauri ya Jiji la Dar linaloongozwa na Nstahiki Meya Masburi wa CCM.Na si Manispaa ya Kinondomi.
  14. M

    Unadhani Kuna Njia Nzuri Gani ya Kupambana na Rushwa Tanzania?

    SIKU TUKICHAGU RAIS MWELEDI,MWADILIFU,ANAYECHUKIA RUSHWA KWADHATI YA MOYO WAKE RUSHWA ITAKUFA NA ITAZIKWA,take it from me.
  15. M

    Dr Slaa kufikishwa Mahakamani!

    Kumbe Mrema alipekwa huko!
  16. M

    Wale wa zamani mnakumbuka haya Mashirika?

    Nawakumbuka miungu watu waliokuwa RTC,NMC na Matelephone Operator ttcl ya wakati huo.
  17. M

    Hivi kwa nini viomgozi hawa tu ndiyo wenye vitambi vya kutisha kulinganisha na wengin

    Angalia, Rais yuko fit Makamu wa Rais yuko fit Waziri Mkuu yuko fit Mawaziri wote wako fit Wakuu wa,mikoa wote wako fit Makamanda wa J W t wako fit LINGANISHA na RPC Vitambi tu RCO vitambi tu OCD Vitambi tu OCS Vitambi tu Makamanda wa FFU Vitambi tu Hivi vitambi kwanini wengi ni wao tu
  18. M

    Kwanini wenye mabasi wasibebe gharama za kuendeleza familia wanazoziulia wazazi na walezi wao?

    Kama ajali zinasababishwa na watumishi yaani madereva wa mabasi wa makampuni ya mabasi kwa makusudi ,kwanini isipitishwe sheria kuwa kila inapotokea ajali ya uzembe wa madereva wa mabasi pamoja na hatua nyingine za kisheria mmiliki wa basi husika awe na wajibu wa kuwalea Wategemezi wote wa...
  19. M

    Mansour Yussuf Himid (aliyekuwa Mwakilishi wa Kiembe Samaki - Z'bar) ashikiliwa na Jeshi la Polisi

    Huo ni Moshi,wafanye search kwa wakubwa wote tuone ni wangapi watakuwa bunduki za halali na marisasa yenye kibali.
Back
Top Bottom